Natafuta Mpenzi wa kula naye raha siku ya valentine

Natafuta Mpenzi wa kula naye raha siku ya valentine

wewe mwanaume wa kweli hatongozi....nilishasema women of today are worth no more than pieces of paper. sasa i will be an idiot kupoteza muda na kuanza kutongoza
yethuuuuu na maria!
nkiki se?
:fencing:
 
mtumeeee simama shetwani apite. Usinishawishi aisee. valentine is masturdating, unless festledi originale ananipa mualiko. mamangu aliniambia nikae mbali na wavulana!

sasa mbona unaanza kunikwepa tena...we are bound to fly at 07:00AM
 
hahaha, mzabzab sijui atafanya ze nidifule?
wewe tena, mama wa kambo siku hizi ndo dili la mujini. japo kachumbari ama fruit salad hukosi
Mmh, nilistuka kuona festiledi anaomba kampani kwa mabazazi

HAta mie msinisahau in case bajeti itaruhusu
 
Last edited by a moderator:
haya amka ujiandae mfadhili. tuko wangapi vile? manake una wake wengi kumzidi Asprin, ujue king'asti aint into sharing!

Upo peke yako....jiamini ila watakiwa ugangamale maana libeneke langu sio la kitoto....
 
Last edited by a moderator:
Tatizo mzabzab anakongoroa hadi makongoro
Na nikiangalia umri wa festiledi anaweza rudishwa kwake kwa ambulensi


Nishavaa swimming costume, na sivui regardless tunaenda wapi

hahaha, mzabzab sijui atafanya ze nidifule?
wewe tena, mama wa kambo siku hizi ndo dili la mujini. japo kachumbari ama fruit salad hukosi
 
Last edited by a moderator:
afu nilishaonywa watu wanaojisifia hawanaga lolote, ngoma zao hazikeshi.
ngastukaa, namngojea paw wangu atoke safari tuoane upyaaa!
:mwaaah::mwaaah😛aw, i miss you babe!

Upo peke yako....jiamini ila watakiwa ugangamale maana libeneke langu sio la kitoto....

hahahhaa, anakongoroa makongoro! kiboko yake!
weeh baki na costume yako nakufuata na bajaj tunaenda mbagala. naskia kuna beach huko
Tatizo mzabzab anakongoroa hadi makongoro
Na nikiangalia umri wa festiledi anaweza rudishwa kwake kwa ambulensi


Nishavaa swimming costume, na sivui regardless tunaenda wapi

niko hapa kaka shemeji. tuma hiyo luncheon ya valentine bkwenye mpesa, nakungojelezea
 
afu nilishaonywa watu wanaojisifia hawanaga lolote, ngoma zao hazikeshi.
ngastukaa, namngojea paw wangu atoke safari tuoane upyaaa!
:mwaaah::mwaaah😛aw, i miss you babe!



hahahhaa, anakongoroa makongoro! kiboko yake!
weeh baki na costume yako nakufuata na bajaj tunaenda mbagala. naskia kuna beach huko

niko hapa kaka shemeji. tuma hiyo luncheon ya valentine bkwenye mpesa, nakungojelezea

Sasa ule upango wa our secret hide out unakuwaje.....i'm anxiously waiting...
mie nimekuambia ukweli kama wewe waona ni majisifu pole sana....ukweli wangu sifa kwako...lol
 
afu nilishaonywa watu wanaojisifia hawanaga lolote, ngoma zao hazikeshi.
ngastukaa, namngojea paw wangu atoke safari tuoane upyaaa!
:mwaaah::mwaaah😛aw, i miss you babe!

Natamani unavyomwambia Paw
Ngoja na mie niseme, kaka shemeji I miss you.:majani7:
(Hivi alienda wapi?Any idea?):shut-mouth:

hahahhaa, anakongoroa makongoro! kiboko yake!
weeh baki na costume yako nakufuata na bajaj tunaenda mbagala. naskia kuna beach huko

niko hapa kaka shemeji. tuma hiyo luncheon ya valentine bkwenye mpesa, nakungojelezea
Babaj utaniletea shombo, niko na vogi la njano.
Bora uje kwa mguu nitasema ulikuwa unafanya mazoezi
 
Back
Top Bottom