yethuuuuu na maria!wewe mwanaume wa kweli hatongozi....nilishasema women of today are worth no more than pieces of paper. sasa i will be an idiot kupoteza muda na kuanza kutongoza
mtumeeee simama shetwani apite. Usinishawishi aisee. valentine is masturdating, unless festledi originale ananipa mualiko. mamangu aliniambia nikae mbali na wavulana!
yethuuuuu na maria!
nkiki se?
:fencing:
umewashusha mno thamani mkuu
dnt mention the lord's name in vain
Mmh, nilistuka kuona festiledi anaomba kampani kwa mabazazi
HAta mie msinisahau in case bajeti itaruhusu
haya amka ujiandae mfadhili. tuko wangapi vile? manake una wake wengi kumzidi Asprin, ujue king'asti aint into sharing!
hahaha, mzabzab sijui atafanya ze nidifule?
wewe tena, mama wa kambo siku hizi ndo dili la mujini. japo kachumbari ama fruit salad hukosi
Upo peke yako....jiamini ila watakiwa ugangamale maana libeneke langu sio la kitoto....
Tatizo mzabzab anakongoroa hadi makongoro
Na nikiangalia umri wa festiledi anaweza rudishwa kwake kwa ambulensi
Nishavaa swimming costume, na sivui regardless tunaenda wapi
King'asti.....u wapi?
afu nilishaonywa watu wanaojisifia hawanaga lolote, ngoma zao hazikeshi.
ngastukaa, namngojea paw wangu atoke safari tuoane upyaaa!
:mwaaah::mwaaah😛aw, i miss you babe!
hahahhaa, anakongoroa makongoro! kiboko yake!
weeh baki na costume yako nakufuata na bajaj tunaenda mbagala. naskia kuna beach huko
niko hapa kaka shemeji. tuma hiyo luncheon ya valentine bkwenye mpesa, nakungojelezea
afu nilishaonywa watu wanaojisifia hawanaga lolote, ngoma zao hazikeshi.
ngastukaa, namngojea paw wangu atoke safari tuoane upyaaa!
:mwaaah::mwaaah😛aw, i miss you babe!
Babaj utaniletea shombo, niko na vogi la njano.hahahhaa, anakongoroa makongoro! kiboko yake!
weeh baki na costume yako nakufuata na bajaj tunaenda mbagala. naskia kuna beach huko
niko hapa kaka shemeji. tuma hiyo luncheon ya valentine bkwenye mpesa, nakungojelezea