Natafuta mpenzi

Natafuta mpenzi

Mm ni mwanaume, age 44,

Natafuta mdada wa kubadilishana changamoto zote za maisha (elewa)

NInaishi Dar,

Ukiwa Dar au mkoa wa jirani itapendeza, tutatoka out au safari, uwe huru na uwe unajielewa. Just for long term relationship

Karibuni,
16 years to come utakuwa na 60 years na bado utakuwa unatafuta mchumba .....................

No offence though.
 
silhouette-unidentified-indian-fisherman-throwing-260nw-410088514_1.jpg
 
Mm ni mwanaume, age 44,

Natafuta mdada wa kubadilishana changamoto zote za maisha (elewa)

NInaishi Dar,

Ukiwa Dar au mkoa wa jirani itapendeza, tutatoka out au safari, uwe huru na uwe unajielewa. Just for long term relationship

Karibuni,
Kaka umeshindwa kabisa kupata watu wa mitaani mpaka unakuja humu?

Humu asilimia kubwa ni wanawake walioumizwa kihisia, sidhani utapata chochote kilicho chema. We nenda kitaa, tongoza wanawake 25 kwa siku , fanya kwa siku 100 ila hakikisha unawaambia sheria zako na atakayezikubali anza naye mahusiano. Huwezi kosa .
 
Kaka umeshindwa kabisa kupata watu wa mitaani mpaka unakuja humu?

Humu asilimia kubwa ni wanawake walioumizwa kihisia, sidhani utapata chochote kilicho chema. We nenda kitaa, tongoza wanawake 25 kwa siku , fanya kwa siku 100 ila hakikisha unawaambia sheria zako na atakayezikubali anza naye mahusiano. Huwezi kosa .
Hii kanuni nzuri
 
Commenting post #12

Nope sijapredict any future it is reality whether you like it or not 44+16 will result to 60 each and everytime that is universal rule prove me wrong.
 
@ 44 tafuta lishangazi.
Yapo mengi tu Ilala na huku Kimara yapo mengi kutoka mkoa maarufu wa kaskazini kunakoliwa ndisi kwa wingi.
 
@ 44 tafuta lishangazi.
Yapo mengi tu Ilala na huku Kimara yapo mengi kutoka mkoa maarufu wa kaskazini kunakoliwa ndisi kwa wingi.
Looh 😲 😲 😲 😲, Kimara huko kumbe ndiko wanakopatikana saizi yetu
 
Back
Top Bottom