Natafuta Mpenzi

Natafuta Mpenzi

Thanks

Thanks for good advice 👍
Kwa umri wako mdogo angu, kibongo bongo kama haujatokea kwenye familia ya kishua basi bila shaka ni kijana ambae bado unajitafuta., masuala ya kuanzisha mahusiano bora yaache kwanza, hawa wanawake wa kiafrika ni liability tu kwa mwanaume. Tilia mkazo kwenye kujitafuta kwa kubuni miradi, kuongeza elimu au kunoa kipaji/kipawa chako(kama umekigundua). Ukifika 30's utakua ushajipata hawa wanawake watakua tambalale tu ni wao wenyewe ndio watakutafuta mpaka utaona kero.
 
25 Bado unasomaa duh! Hatariii sana,wakati Mbappe 24 anawaza namna ya kustafu kambumbuu😃🤣
 
Kwa umri wako mdogo angu, kibongo bongo kama haujatokea kwenye familia ya kishua basi bila shaka ni kijana ambae bado unajitafuta., masuala ya kuanzisha mahusiano bora yaache kwanza, hawa wanawake wa kiafrika ni liability tu kwa mwanaume. Tilia mkazo kwenye kujitafuta kwa kubuni miradi, kuongeza elimu au kunoa kipaji/kipawa chako(kama umekigundua). Ukifika 30's utakua ushajipata hawa wanawake watakua tambalale tu ni wao wenyewe ndio watakutafuta mpaka utaona kero.
Pmj sana
 
Back
Top Bottom