comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 3,411
- 4,435
- Thread starter
- #21
Ndiooo
Majungu tena[emoji23][emoji23][emoji23]chill
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majungu tena[emoji23][emoji23][emoji23]chill
Watu huongea na kuandika mawazo yao halisiMbele ya mboni za macho yenu ndugu watazamajii!
Mfanyabiasha mkubwa na mwanasaikolojia KIPEPE, Nipo hapa kutafuta mtoto mkaliiiiiiii!!!
Ebbanaaaa! Uwe mkali aseeee! Maana komredi ni Kijana tajiri niliesimika Jumba la kifahari katika Jiji la Dar.. Nahitaji mama mwenye nyumba uwe mzuuuuriiiii!!!!!
Changamkienii fursa aseeeee!!!
Huyu hapa chini ni MFANYAKAZI WANGU WA NDANI a.k.a BEKI 3, Uwe mzuri kumzidiiiii, kabila lolooote.
View attachment 1141545
Watu huongea na kuandika mawazo yao halisi
Ndiooo
OohhhooRelax comrade_kipepe hamna aliekupiga majungu
Kumbe wewe ni mwanadada nikajua mshkajiRelax comrade_kipepe hamna aliekupiga majungu
Kumbe wewe ni mwanadada nikajua mshkaji
As a man thinketh...in his heart so he is...Watu huongea na kuandika mawazo yao halisi
Hamna sikujua tu kama wewe ni mwanamke, sorry[emoji23][emoji23][emoji23]sababu nimekurelaxisha sio mkuu
NIPE JINI NIPO TAYARINimetafakari sana kuhusu hili hitaji lako... Nimeona mrembo pekee atakayekufaa ni jini... Huyu hutatumia sent yako ila kubali masharti na vigezo
Jini hupewi anakuja mwenyeweNIPE JINI NIPO TAYARI
Aje tuuJini hupewi anakuja mwenyewe
Nenda vyoo vya stendi wapo majini wa kila ainaNIPE JINI NIPO TAYARI
AseeeNenda vyoo vya stendi wapo majini wa kila aina
Una undungu na Spika?Mbele ya mboni za macho yenu ndugu watazamajii!
Mfanyabiasha mkubwa na mwanasaikolojia KIPEPE, Nipo hapa kutafuta mtoto mkaliiiiiiii!!!
Ebbanaaaa! Uwe mkali aseeee! Maana komredi ni Kijana tajiri niliesimika Jumba la kifahari katika Jiji la Dar.. Nahitaji mama mwenye nyumba uwe mzuuuuriiiii!!!!!
Changamkienii fursa aseeeee!!!
Huyu hapa chini ni MFANYAKAZI WANGU WA NDANI a.k.a BEKI 3, Uwe mzuri kumzidiiiii, kabila lolooote.
View attachment 1141545
Una undungu na Spika?
Dah, nilitaka nije tuyajenge ila ulivosema huyo Dada mzuri hivo ni house girl wako ,nimerudi speed maana simfikii hata robo .kila rakherii