Natafuta Mshirika wa Biashara ya Chips Tabata Kinyerezi

Natafuta Mshirika wa Biashara ya Chips Tabata Kinyerezi

kuna watu bado tuna uaminifu(na mimi najiwekamo kwa sababu najijua)

ninaweza kusimamia vizuri biashara ya mtu bila kumpiga shida inakuja kwenye malipo, akijipendelea tu matatizo yanaanzia hapo
Nakubali waaminifu wapo ila ni wachache sana, lakini haiondoi ukweli kuwa biashara inamuhtaji sana mmiliki wake kwa ukaribu.
 
JAMANI NDUGU JAMAA NA MARAFIKI BADO SIJAPATA WA KUINGIA NAE MKATABA WA KISHERIA JUU YA BIASHARA YA CHIPS NA MBUZI CHOMA HAPA TABATA KINYEREZI SENTA JUU YA ENEO NILILO NALO.
 
Habari zenu ndugu jamaa na marafiki, Me naitwa Gerald Anthony Lyapega nasishi kinyerezi ni muangaikaji wa kawaida tu kwa jina langu la mitaa wananiitaga GYGA.

Pointi yangu ni kupata mshirika wa biashara me ninaeneo hapa stendi Kinyerezi nilikua na dhumuni la kufungua chips na nyamachoma ya mbuzi.

Sitohitaji anipe pesa yake nahitaji nimpe mahitaji yanayo itajka kisha yeye ndio anunue na kisha anikabidhi na kama uaminifu utakuwa mdogo anaweza nitafutia kijana umjuae au ndugu nikawa nafanya naye mpaka pale imani yako itapotulia ASANTE KWA ULIO NIELEWA.

Kwa mkakati mzima na kukukaribisha kuona eneo namba yangu ni 0788317776 mda wote we piga.
Kirahisi rahisi hivyo?
 
Kwa waafrika bado sana, anaweza kukimbia na kila kitu, au akakuroga uchawi wa "kiatu" ukajikuta bila ufahamu wako unaondoka tu Dar ,na hela yako hutaifuatilia, anakufunga kabisa akili, au anakufanya zezeta.

Fanya mwenyewe au na mtu wako wa karibu saaana, au simamia mwenyewe.

Mwafrika ni kiumbe hatari sana
 
Mkuu Gerald huwenda kweli una nia nzuri ya kushirikiana na mtu katika wazo lako hilo, ni jambo zuri sana. Changamoto hapa ni uaminifu tu, sio rahisi watu mmekutana humu kwa haraka tu mkafanya jambo lenu. Wengine uaminifu bado tunao, hebu niaminishe kuhusu wewe. Niko tayari tupige kazi.
 
Mimi nafikiri unapoteza umakini, maana uliowajibu umepata mtu, mimi ni mmoja..

Nikakuambia kila la kheri, ila uliyempata ikishindikana, tuwasiliane ukasema poa.

Ila kumbe hata namba za waliokutafuta haukusave, ni ukosefu wa nidhamu pia.

Watu makini hawapo hivyo, maana sio kila muda mtu ataona huu uzi.

Kila la kheri ingawa, ila ni dalili ya ubabaifu wako.
Huyu jamaa kwa maandishi yake sidhani kama ana utimamu wa akili
 
Habari zenu ndugu jamaa na marafiki, Me naitwa Gerald Anthony Lyapega naishi Kinyerezi ni muhangaikaji wa kawaida tu kwa jina langu la mitaa wananiitaga GYGA.

Pointi yangu ni kupata mshirika wa biashara, mimi nina eneo hapa stendi Kinyerezi nilikuwa na dhumuni la kufungua chips na nyamachoma ya mbuzi.

Sitohitaji anipe pesa yake nahitaji nimpe mahitaji yanayohitajka kisha yeye ndio anunue na kisha anikabidhi na kama uaminifu utakuwa mdogo anaweza nitafutia kijana umjuae au ndugu nikawa nafanya naye mpaka pale imani yako itapotulia ASANTE KWA ULIONIELEWA.

Kwa mkakati mzima nakukukaribisha kuona eneo namba yangu ni 0788317776 muda wote we piga.
Yaani wewe unataka upate mtaji kupitia mtu/mshirika wako baadae mje muanze kusumbuana..mimi nikajua unamuuzia kieneo hicho jamaa afanye biashara. Sasa kumbe unataka mambo ya % na ilihali jamaa kanunua mahitaji.Alafu ukishapata mtaji uanze kumzingua mtu.

Hii ni ngumu sana.Kama umeshindwa kuendesha biashara kutokana na mtaji huna muuzie mtu eneo afanye biashara yeye kama yeye.
Vinginevyo utazua ugomvi wa kimaslahi. Hilo nimeliangalia Kwa jicho la Tatu (Kiroho zaidi)
 
Back
Top Bottom