Papaa Gx
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 11,097
- 17,929
Sawa kila la kheri
nashukuru kwa kujari wazo langu papa Gx nashukuru kwa kuwa yule yule alio niahidi mwanzo ndio ame nilejea namshukuru mungu now tupo ktk hatua nzuri , yeye ndio anasimamia vitu vyote sasa sio muda tutaanza kazi.