Nakubali waaminifu wapo ila ni wachache sana, lakini haiondoi ukweli kuwa biashara inamuhtaji sana mmiliki wake kwa ukaribu.kuna watu bado tuna uaminifu(na mimi najiwekamo kwa sababu najijua)
ninaweza kusimamia vizuri biashara ya mtu bila kumpiga shida inakuja kwenye malipo, akijipendelea tu matatizo yanaanzia hapo
Kwanini msiweke mkataba wa commission?shida ni kwenye malipo mabosi wanajipendelea sanaaaa
Kirahisi rahisi hivyo?Habari zenu ndugu jamaa na marafiki, Me naitwa Gerald Anthony Lyapega nasishi kinyerezi ni muangaikaji wa kawaida tu kwa jina langu la mitaa wananiitaga GYGA.
Pointi yangu ni kupata mshirika wa biashara me ninaeneo hapa stendi Kinyerezi nilikua na dhumuni la kufungua chips na nyamachoma ya mbuzi.
Sitohitaji anipe pesa yake nahitaji nimpe mahitaji yanayo itajka kisha yeye ndio anunue na kisha anikabidhi na kama uaminifu utakuwa mdogo anaweza nitafutia kijana umjuae au ndugu nikawa nafanya naye mpaka pale imani yako itapotulia ASANTE KWA ULIO NIELEWA.
Kwa mkakati mzima na kukukaribisha kuona eneo namba yangu ni 0788317776 mda wote we piga.
Huyu jamaa kwa maandishi yake sidhani kama ana utimamu wa akiliMimi nafikiri unapoteza umakini, maana uliowajibu umepata mtu, mimi ni mmoja..
Nikakuambia kila la kheri, ila uliyempata ikishindikana, tuwasiliane ukasema poa.
Ila kumbe hata namba za waliokutafuta haukusave, ni ukosefu wa nidhamu pia.
Watu makini hawapo hivyo, maana sio kila muda mtu ataona huu uzi.
Kila la kheri ingawa, ila ni dalili ya ubabaifu wako.
Huyu jamaa kwa maandishi yake sidhani kama ana utimamu wa akili
Ni Bora Zaidi ungempigia cm
Yaani wewe unataka upate mtaji kupitia mtu/mshirika wako baadae mje muanze kusumbuana..mimi nikajua unamuuzia kieneo hicho jamaa afanye biashara. Sasa kumbe unataka mambo ya % na ilihali jamaa kanunua mahitaji.Alafu ukishapata mtaji uanze kumzingua mtu.Habari zenu ndugu jamaa na marafiki, Me naitwa Gerald Anthony Lyapega naishi Kinyerezi ni muhangaikaji wa kawaida tu kwa jina langu la mitaa wananiitaga GYGA.
Pointi yangu ni kupata mshirika wa biashara, mimi nina eneo hapa stendi Kinyerezi nilikuwa na dhumuni la kufungua chips na nyamachoma ya mbuzi.
Sitohitaji anipe pesa yake nahitaji nimpe mahitaji yanayohitajka kisha yeye ndio anunue na kisha anikabidhi na kama uaminifu utakuwa mdogo anaweza nitafutia kijana umjuae au ndugu nikawa nafanya naye mpaka pale imani yako itapotulia ASANTE KWA ULIONIELEWA.
Kwa mkakati mzima nakukukaribisha kuona eneo namba yangu ni 0788317776 muda wote we piga.