🤣🤣🤣 safi umeliangalia hili kwa jicho la tatu( Kiroho zaidi) jamaa anachotaka kufanya kama akimpata mtu huyo mtu aliangalie kwa jicho la tatu humo lazima ugomvi wa kimaslahi uwepo 100%.Kwa waafrika bado sana, anaweza kukimbia na kila kitu, au akakuroga uchawi wa "kiatu" ukajikuta bila ufahamu wako unaondoka tu Dar ,na hela yako hutaifuatilia, anakufunga kabisa akili, au anakufanya zezeta.
Fanya mwenyewe au na mtu wako wa karibu saaana, au simamia mwenyewe.
Mwafrika ni kiumbe hatari sana
nisawa unacho sema chukulia mfano umenunua bajaji ukampa mtu mkataba, akizngua si wampokonya na hata hili ni ivyo ivyo na ndiomaana ya maandishi na mashaid, kikubwa kujierewa na kujitambua wapi umetoka na wapi wataraj fika hichotu ndio muhimuYaani wewe unataka upate mtaji kupitia mtu/mshirika wako baadae mje muanze kusumbuana..mimi nikajua unamuuzia kieneo hicho jamaa afanye biashara. Sasa kumbe unataka mambo ya % na ilihali jamaa kanunua mahitaji.Alafu ukishapata mtaji uanze kumzingua mtu.
Hii ni ngumu sana.Kama umeshindwa kuendesha biashara kutokana na mtaji huna muuzie mtu eneo afanye biashara yeye kama yeye.
Vinginevyo utazua ugomvi wa kimaslahi. Hilo nimeliangalia Kwa jicho la Tatu (Kiroho zaidi)
maandishi ya makubaliano kisheria yatakuwepo na ushaid , ila nashukuru najitambua na kueshimu alie mbele yangu hicho ndicho ninacho kipigania kwa kumuomba mungu kisipotee kwangu.🤣🤣🤣 safi umeliangalia hili kwa jicho la tatu( Kiroho zaidi) jamaa anachotaka kufanya kama akimpata mtu huyo mtu aliangalie kwa jicho la tatu humo lazima ugomvi wa kimaslahi uwepo 100%.
Mfano yeye kaweka mtaji ila eneo ni lako so asilimia ngapi ya faida mnapeana?maandishi ya makubaliano kisheria yatakuwepo na ushaid , ila nashukuru najitambua na kueshimu alie mbele yangu hicho ndicho ninacho kipigania kwa kumuomba mungu kisipotee kwangu.
nilikwambia nimempata kaja kuona eneo kalipenda kwaiyo nangoja muda alionipa ikishindikana nitawarudia kwan uwongo sikukwambia hivyo na yule ndio nilie msave na si kila mtu wapaswa kumsave unamsevu yule ambae unamakubaliano nae.Mimi nafikiri unapoteza umakini, maana uliowajibu umepata mtu, mimi ni mmoja..
Nikakuambia kila la kheri, ila uliyempata ikishindikana, tuwasiliane ukasema poa.
Ila kumbe hata namba za waliokutafuta haukusave, ni ukosefu wa nidhamu pia.
Watu makini hawapo hivyo, maana sio kila muda mtu ataona huu uzi.
Kila la kheri ingawa, ila ni dalili ya ubabaifu wako.
Okay na hili la asilimia litakwenda kwa muda gani? Na wewe pale utakua kama nani kwenye hiyo biashara chief?katka %50 me nitachukua 20 tuu.
Acha utapeli kijana .katka %50 me nitachukua 20 tuu.
Ndo namuuliza maswali hapo! Hiyo asilimia itakwenda kwa muda gani? Maana na yeye kasema atakua pale..sasa sijajua yeye anafanya nini pale.Acha utapeli kijana .
nashukuru kwa kujari wazo langu papa Gx nashukuru kwa kuwa yule yule alio niahidi mwanzo ndio ame nilejea namshukuru mungu now tupo ktk hatua nzuri , yeye ndio anasimamia vitu vyote sasa sio muda tutaanza kazi.Mkuu Gerald huwenda kweli una nia nzuri ya kushirikiana na mtu katika wazo lako hilo, ni jambo zuri sana. Changamoto hapa ni uaminifu tu, sio rahisi watu mmekutana humu kwa haraka tu mkafanya jambo lenu. Wengine uaminifu bado tunao, hebu niaminishe kuhusu wewe. Niko tayari tupige kazi.
Yeye aseme kuwa atachukua kodi watakayopangiana lakini sio ishu ya sijui % ya faida itakayopatikana..huo ni utapeli na unaweza waweka kwenye ugomvi mkubwa sana.Natoa tahadhar uaminifu ni tatizo kubwa ndani ya nchi hii ,, Ila Kwa vijana wa Dar uaminifu ni tatizo kubwa mara elfu.
Napendekeza hatua tahadhar ya hali ya juu ichukuliwe.
me ndio mfanyaji pia na yeye tulie kubariana nae anakuwa na ndugu au jamaa yake pele kunisaidia.Ndo namuuliza maswali hapo! Hiyo asilimia itakwenda kwa muda gani? Maana na yeye kasema atakua pale..sasa sijajua yeye anafanya nini pale.
Mtu akishaweka mtaji wa kila kitu biashara ni ya mwenye mtaji...! Hapo lazima kuwe na ugomvi wa kimaslahi ni ngumu sana hii Idea ya jamaa.
Hii imekaaje mkuu? Fafanua zaidiKwa waafrika bado sana, anaweza kukimbia na kila kitu, au akakuroga uchawi wa "kiatu" ukajikuta bila ufahamu wako unaondoka tu Dar ,na hela yako hutaifuatilia, anakufunga kabisa akili, au anakufanya zezeta.
Fanya mwenyewe au na mtu wako wa karibu saaana, au simamia mwenyewe.
Mwafrika ni kiumbe hatari sana
Hamna kitu hapa🚨🚨🚨 dhuluma dhuluma..na ugomvi mkubwa sana hapa.me ndio mfanyaji pia na yeye tulie kubariana nae anakuwa na ndugu au jamaa yake pele kunisaidia.
tupo tofaut sana fikra na matendo kwaiyo msiongeree vibaya sana maana sikuzote maneno mabaya kama pepo huja na kuvuruga akili za makubaliano yenu kabisa, unavyo fanya jambo weka imani mbele kuliko mojuto.Yeye aseme kuwa atachukua kodi watakayopangiana lakini sio ishu ya sijui % ya faida itakayopatikana..huo ni utapeli na unaweza waweka kwenye ugomvi mkubwa sana.
Yaani mtu ameweka mtaji wake alafu wewe ndo uwe unaendesha usukani yeye alete ndugu yake kukaa na kujua umeuza kiasi gani...daah hii biashara kichaa sana.me ndio mfanyaji pia na yeye tulie kubariana nae anakuwa na ndugu au jamaa yake pele kunisaidia.
Natoa tahadhar uaminifu ni tatizo kubwa ndani ya nchi hii ,, Ila Kwa vijana wa Dar uaminifu ni tatizo kubwa mara elfu.
Napendekeza hatua tahadhar ya hali ya juu ichukuliwe.
sasa hapo kuna utapeli gani jman, labda nikuulize swali unakitu cha kukuingizia ela kwa siku ulicho mpa mtu eza pikpik au bajaj au daladala.Acha utapeli kijana .