Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anataka mambo ya Utamaduni zaid.🤣🤣Mtaalamu wa kukusaidia kupata ajira? Mganga au unataka connection?
Halafu wengine wana waganga wao spesheli.Chunguza hii mkuu watu wachamungu kupita kiasi humu mitaani, Kwa ndani ni mtihani.Humu wakatishaji tamaa ni wengi sana.
EKama heading inavyojieleza bado naangaika kusaka ajira. Kuna siku niweka uzi nikaukimbia watu wana maneno makali sana unaweza jiona hufai tena.
Sijachanganyikiwa kama wengine wanavyoamini mimi nipo timamu kabisa.
Kuna wakati nilizunguka uko kwa wataalam sikufanikiwa sababu naona ilikuwa uwezo wao nikakata tamaa ila nimeamua nirudi tena sina options.
Najua kuna watu wamevuka stage ya utoto wanayaelewa vizuri maisha na watanielewa kinachonisumbua
Natafuta mtaalam wa jadi mzuri ataeweza nisaidia kupata kazi na kuniondolea gundu.
Maana kwa sasa kila nachojaribu kufanya kinaishia kuharibika naomba kazi miaka 3+ natoswa siku hizi sipati hata simu ya interview nna mwaka sasa.
Ningefurahi zaidi angekuwa Dar maana pia nauli ya kwenda mbali na DSM ni changamoto kwangu ila kama anakuwa mbali sio mbaya nitapambana nimfate.
Nasubiri msaada PM.
Mtaonitukana nimewasamehe in advance.
Sina uzoefu na hayo mambo ila haya ni maoni yanguKama heading inavyojieleza bado naangaika kusaka ajira. Kuna siku niweka uzi nikaukimbia watu wana maneno makali sana unaweza jiona hufai tena.
Sijachanganyikiwa kama wengine wanavyoamini mimi nipo timamu kabisa.
Kuna wakati nilizunguka uko kwa wataalam sikufanikiwa sababu naona ilikuwa uwezo wao nikakata tamaa ila nimeamua nirudi tena sina options.
Najua kuna watu wamevuka stage ya utoto wanayaelewa vizuri maisha na watanielewa kinachonisumbua
Natafuta mtaalam wa jadi mzuri ataeweza nisaidia kupata kazi na kuniondolea gundu.
Maana kwa sasa kila nachojaribu kufanya kinaishia kuharibika naomba kazi miaka 3+ natoswa siku hizi sipati hata simu ya interview nna mwaka sasa.
Ningefurahi zaidi angekuwa Dar maana pia nauli ya kwenda mbali na DSM ni changamoto kwangu ila kama anakuwa mbali sio mbaya nitapambana nimfate.
Nasubiri msaada PM.
Mtaonitukana nimewasamehe in advance.
Asante sana mkuuNenda pm kuna ushauri nimekupatia kule!Go for it Boy!
Siwezi kata tamaa kwenye kupambania maisha yangu.Humu wakatishaji tamaa ni wengi sana.
Sawa mkuu nimekuelewa tatizo sijaitwa interview muda mrefu kiasi hata kusema nisaidie niingie ofisi fulani nitakuwa nashindwa.Sina uzoefu na hayo mambo ila haya ni maoni yangu
Mahitaji yako yapo general sana nadhani ni ngumu hata kwa mtaalam kukusaidia
Narrow your needs, nenda ukiwa labda na lengo la kulenga ofisi fulani specific
Vyote Kwa pamoja[emoji28]Mtaalamu wa kukusaidia kupata ajira? Mganga au unataka connection?
Ulisoma chuo/chuo kikuu? Kama ndiyo, je, ulisomea nini? Kwa ngazi ya degree au?!Kama heading inavyojieleza bado naangaika kusaka ajira. Kuna siku niweka uzi nikaukimbia watu wana maneno makali sana unaweza jiona hufai tena.
Sijachanganyikiwa kama wengine wanavyoamini mimi nipo timamu kabisa.
Kuna wakati nilizunguka uko kwa wataalam sikufanikiwa sababu naona ilikuwa uwezo wao nikakata tamaa ila nimeamua nirudi tena sina options.
Najua kuna watu wamevuka stage ya utoto wanayaelewa vizuri maisha na watanielewa kinachonisumbua
Natafuta mtaalam wa jadi mzuri ataeweza nisaidia kupata kazi na kuniondolea gundu.
Maana kwa sasa kila nachojaribu kufanya kinaishia kuharibika naomba kazi miaka 3+ natoswa siku hizi sipati hata simu ya interview nna mwaka sasa.
Ningefurahi zaidi angekuwa Dar maana pia nauli ya kwenda mbali na DSM ni changamoto kwangu ila kama anakuwa mbali sio mbaya nitapambana nimfate.
Nasubiri msaada PM.
Mtaonitukana nimewasamehe in advance.
Atafute tu connection hayo ya mganga ataishia kulizwa tu kila sikuVyote Kwa pamoja[emoji28]
Icho kitu si vibaya na mm nikakipata mkuu bantu lady...🙏Mkuu pole sana na masahibu yote unayopitia. Sijui kama utaupenda ushauri wangu, ila acha nikuambie kitu.
Waganga utapoteza pesa, kuendelea kujiwekea nuksi. Nachokushauri kwa Imani yako, mrudie Mungu omba toba/msamaha kwa kuamini binadamu, ndiye anayeweza kukutatulia shida zako.
Baada ya hapo mwamini yeye, kama ameweza kukuumba hashindwi jambo dogo kama kukupatia kazi na kutoa hiyo mikosi unayohisi.
Hayo ni mapito na majaribu ya dunia, kila mtu anapitia kwa aina yake. Mwisho wa siku Imani yako itakuokoa.
*Kuna kitu nitakutumia pm ufanye, utaleta mrejesho.
Pole mkuu binafsi sijakuhukumu.Expectations kama zipi unafikiri ninazo za juu?
Mimi natafuta kazi ili nilipe kodi ya nyumba, nipate pesa ya kula chakula na mambo mengine ya lazima.
Kwa nini mnapenda sana kuhukumu?
Nimesoma mpaka chuo kikuu.Ulisoma chuo/chuo kikuu? Kama ndiyo, je, ulisomea nini? Kwa ngazi ya degree au?!
Jibu hayo maswali tafadhali!
Masters [emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]Nimesoma mpaka chuo kikuu.
Degree : Education
Masters: Public administration
Short courses
Risk Management
Community Engagement
SPSS
Shughuli ndogo kama ipi?Pole mkuu binafsi sijakuhukumu.
lakni tambua kuwa nyakat tulizomo ngumu.
kwa mfano leo nimesoma habar moja kuwa FORD wanapunguza wafanyakazi 3200.
kwa hyo wakat mwingne kupata ajira inaweya kuwa ngumu.
kuliko kwenda huko kwa mganga hata ukajiongezea mabalaa kwa nn usitafute shughuli hata ndogo ukasukuma siku!
[emoji120]Nimesoma mpaka chuo kikuu.
Degree : Education
Masters: Public administration
Short courses
Risk Management
Community Engagement
SPSS