Natafuta mtaalam wa kunisaidia kupata ajira na kuniondolea gundu

Natafuta mtaalam wa kunisaidia kupata ajira na kuniondolea gundu

Wewe umesomea kitu gani? Una utaalamu gani
Kama heading inavyojieleza bado naangaika kusaka ajira. Kuna siku niweka uzi nikaukimbia watu wana maneno makali sana unaweza jiona hufai tena.
Sijachanganyikiwa kama wengine wanavyoamini mimi nipo timamu kabisa.

Kuna wakati nilizunguka uko kwa wataalam sikufanikiwa sababu naona ilikuwa uwezo wao nikakata tamaa ila nimeamua nirudi tena sina options.

Najua kuna watu wamevuka stage ya utoto wanayaelewa vizuri maisha na watanielewa kinachonisumbua

Natafuta mtaalam wa jadi mzuri ataeweza nisaidia kupata kazi na kuniondolea gundu.

Maana kwa sasa kila nachojaribu kufanya kinaishia kuharibika naomba kazi miaka 3+ natoswa siku hizi sipati hata simu ya interview nna mwaka sasa.

Ningefurahi zaidi angekuwa Dar maana pia nauli ya kwenda mbali na DSM ni changamoto kwangu ila kama anakuwa mbali sio mbaya nitapambana nimfate.

Nasubiri msaada PM.

Mtaonitukana nimewasamehe in advance.
E
 
Kama heading inavyojieleza bado naangaika kusaka ajira. Kuna siku niweka uzi nikaukimbia watu wana maneno makali sana unaweza jiona hufai tena.
Sijachanganyikiwa kama wengine wanavyoamini mimi nipo timamu kabisa.

Kuna wakati nilizunguka uko kwa wataalam sikufanikiwa sababu naona ilikuwa uwezo wao nikakata tamaa ila nimeamua nirudi tena sina options.

Najua kuna watu wamevuka stage ya utoto wanayaelewa vizuri maisha na watanielewa kinachonisumbua

Natafuta mtaalam wa jadi mzuri ataeweza nisaidia kupata kazi na kuniondolea gundu.

Maana kwa sasa kila nachojaribu kufanya kinaishia kuharibika naomba kazi miaka 3+ natoswa siku hizi sipati hata simu ya interview nna mwaka sasa.

Ningefurahi zaidi angekuwa Dar maana pia nauli ya kwenda mbali na DSM ni changamoto kwangu ila kama anakuwa mbali sio mbaya nitapambana nimfate.

Nasubiri msaada PM.

Mtaonitukana nimewasamehe in advance.
Sina uzoefu na hayo mambo ila haya ni maoni yangu

Mahitaji yako yapo general sana nadhani ni ngumu hata kwa mtaalam kukusaidia

Narrow your needs, nenda ukiwa labda na lengo la kulenga ofisi fulani specific
 
Sina uzoefu na hayo mambo ila haya ni maoni yangu

Mahitaji yako yapo general sana nadhani ni ngumu hata kwa mtaalam kukusaidia

Narrow your needs, nenda ukiwa labda na lengo la kulenga ofisi fulani specific
Sawa mkuu nimekuelewa tatizo sijaitwa interview muda mrefu kiasi hata kusema nisaidie niingie ofisi fulani nitakuwa nashindwa.
 
Kama heading inavyojieleza bado naangaika kusaka ajira. Kuna siku niweka uzi nikaukimbia watu wana maneno makali sana unaweza jiona hufai tena.
Sijachanganyikiwa kama wengine wanavyoamini mimi nipo timamu kabisa.

Kuna wakati nilizunguka uko kwa wataalam sikufanikiwa sababu naona ilikuwa uwezo wao nikakata tamaa ila nimeamua nirudi tena sina options.

Najua kuna watu wamevuka stage ya utoto wanayaelewa vizuri maisha na watanielewa kinachonisumbua

Natafuta mtaalam wa jadi mzuri ataeweza nisaidia kupata kazi na kuniondolea gundu.

Maana kwa sasa kila nachojaribu kufanya kinaishia kuharibika naomba kazi miaka 3+ natoswa siku hizi sipati hata simu ya interview nna mwaka sasa.

Ningefurahi zaidi angekuwa Dar maana pia nauli ya kwenda mbali na DSM ni changamoto kwangu ila kama anakuwa mbali sio mbaya nitapambana nimfate.

Nasubiri msaada PM.

Mtaonitukana nimewasamehe in advance.
Ulisoma chuo/chuo kikuu? Kama ndiyo, je, ulisomea nini? Kwa ngazi ya degree au?!

Jibu hayo maswali tafadhali!
 
Mkuu pole sana na masahibu yote unayopitia. Sijui kama utaupenda ushauri wangu, ila acha nikuambie kitu.

Waganga utapoteza pesa, kuendelea kujiwekea nuksi. Nachokushauri kwa Imani yako, mrudie Mungu omba toba/msamaha kwa kuamini binadamu, ndiye anayeweza kukutatulia shida zako.

Baada ya hapo mwamini yeye, kama ameweza kukuumba hashindwi jambo dogo kama kukupatia kazi na kutoa hiyo mikosi unayohisi.

Hayo ni mapito na majaribu ya dunia, kila mtu anapitia kwa aina yake. Mwisho wa siku Imani yako itakuokoa.

*Kuna kitu nitakutumia pm ufanye, utaleta mrejesho.
Icho kitu si vibaya na mm nikakipata mkuu bantu lady...🙏
 
Expectations kama zipi unafikiri ninazo za juu?

Mimi natafuta kazi ili nilipe kodi ya nyumba, nipate pesa ya kula chakula na mambo mengine ya lazima.
Kwa nini mnapenda sana kuhukumu?
Pole mkuu binafsi sijakuhukumu.
lakni tambua kuwa nyakat tulizomo ngumu.
kwa mfano leo nimesoma habar moja kuwa FORD wanapunguza wafanyakazi 3200.
kwa hyo wakat mwingne kupata ajira inaweya kuwa ngumu.
kuliko kwenda huko kwa mganga hata ukajiongezea mabalaa kwa nn usitafute shughuli hata ndogo ukasukuma siku!
 
Pole mkuu binafsi sijakuhukumu.
lakni tambua kuwa nyakat tulizomo ngumu.
kwa mfano leo nimesoma habar moja kuwa FORD wanapunguza wafanyakazi 3200.
kwa hyo wakat mwingne kupata ajira inaweya kuwa ngumu.
kuliko kwenda huko kwa mganga hata ukajiongezea mabalaa kwa nn usitafute shughuli hata ndogo ukasukuma siku!
Shughuli ndogo kama ipi?
Sijui kitu kinaitwa gundu kama unakielewa vizuri.
Nimefanya mambo mengi sana yanakwama sijaamua tu kuelezea kila kitu hapa sababu hakuna haja.
 
Back
Top Bottom