Natafuta mtaalam wa kunisaidia kupata ajira na kuniondolea gundu

Natafuta mtaalam wa kunisaidia kupata ajira na kuniondolea gundu

Labda niseme kitu mimi nimeanzisha thread sio kwa ajili ya kusaka ushauri wa kimaisha au wa kiimani.

Nimeomba watu wenye connection na wataalam wanisaidie nikafanyiwe tiba, nipotee au nipatie kwa sasa huu ndio uamuzi sahihi kabisa kwangu nilioamua kuuchukua.

Miaka takribani minne mtaani sijui kuna ushauri gani mpya utakuja kunipa ambao sijakutana nao.

Mimi ndio naelewwa maisha yangu kwa sasa yapoje na nnawaelewa vyema binadamu kwa sasa so usijisumbue kuandika nasaha zako unapoteza nguvu zako tu. Ndio maana niliwaambia mimi sijadata nna uwezo wa kureason nini kipo sawa na kipi hakipo sawa kwenye maisha yangu.
 
Huu ushauri umekuja kwa kuchelewa sana... Kwa sasa nachohitaji ni mganga au ustaadh sio ushauri tena
Mcheki shehe dr Nakish Bandy yeye ndio mtaalamu wa tiba zote kiroho.
Atajua shida nini yupo Dar
 

Attachments

  • Screenshot_20230127_105214.jpg
    Screenshot_20230127_105214.jpg
    127.9 KB · Views: 22
Mkuu pole sana na masahibu yote unayopitia. Sijui kama utaupenda ushauri wangu, ila acha nikuambie kitu.

Waganga utapoteza pesa, kuendelea kujiwekea nuksi. Nachokushauri kwa Imani yako, mrudie Mungu omba toba/msamaha kwa kuamini binadamu, ndiye anayeweza kukutatulia shida zako.

Baada ya hapo mwamini yeye, kama ameweza kukuumba hashindwi jambo dogo kama kukupatia kazi na kutoa hiyo mikosi unayohisi.

Hayo ni mapito na majaribu ya dunia, kila mtu anapitia kwa aina yake. Mwisho wa siku Imani yako itakuokoa.

*Kuna kitu nitakutumia pm ufanye, utaleta mrejesho.
Nitumie na mm madam...Mungu atakubariiki.[emoji120]
 
kulisha family ya watu 8 kunafeel vipi...
Mkuu, mimi sio mganga wala mtoa gundu ila matatizo yako nimeyagundua baada ya kusoma respond zako.
Familia ya watu nane yaani ni mke na watoto 6? Au huna channel lakini bado unasaidia na ndugu?
Fanya hv, kama ktk hao 6 kuna ndugu watimue, kama una mitoto iliyozidi 18 timua, mke mrudishe kijijini kisha rudi mjini anza kutembea na bahasha jengo baada ya jengo(si unapenda kuajiliwa) ikitokea umekosa, unalala njaa peke yako sio na familia, hii itakuepushia migogoro isiyo ya lazima ambayo ndio hukupagawisha na kujiona una gundu
 
Mkuu, mimi sio mganga wala mtoa gundu ila matatizo yako nimeyagundua baada ya kusoma respond zako.
Familia ya watu nane yaani ni mke na watoto 6? Au huna channel lakini bado unasaidia na ndugu?
Fanya hv, kama ktk hao 6 kuna ndugu watimue, kama una mitoto iliyozidi 18 timua, mke mrudishe kijijini kisha rudi mjini anza kutembea na bahasha jengo baada ya jengo(si unapenda kuajiliwa) ikitokea umekosa, unalala njaa peke yako sio na familia, hii itakuepushia migogoro isiyo ya lazima ambayo ndio hukupagawisha na kujiona una gundu
Kaa kimya sio mjadala wa vichaa huu
 
Hayo ni mapito tu,siku yako itafika tu mkuu.unavosema unalisha familia ya watu 8 ni yako ww na wife au wazaz na ndugu zako.
 
Mkuu, mimi sio mganga wala mtoa gundu ila matatizo yako nimeyagundua baada ya kusoma respond zako.
Familia ya watu nane yaani ni mke na watoto 6? Au huna channel lakini bado unasaidia na ndugu?
Fanya hv, kama ktk hao 6 kuna ndugu watimue, kama una mitoto iliyozidi 18 timua, mke mrudishe kijijini kisha rudi mjini anza kutembea na bahasha jengo baada ya jengo(si unapenda kuajiliwa) ikitokea umekosa, unalala njaa peke yako sio na familia, hii itakuepushia migogoro isiyo ya lazima ambayo ndio hukupagawisha na kujiona una gundu
Sijakuomba ushauri lakini
 
Mkuu, mimi sio mganga wala mtoa gundu ila matatizo yako nimeyagundua baada ya kusoma respond zako.
Familia ya watu nane yaani ni mke na watoto 6? Au huna channel lakini bado unasaidia na ndugu?
Fanya hv, kama ktk hao 6 kuna ndugu watimue, kama una mitoto iliyozidi 18 timua, mke mrudishe kijijini kisha rudi mjini anza kutembea na bahasha jengo baada ya jengo(si unapenda kuajiliwa) ikitokea umekosa, unalala njaa peke yako sio na familia, hii itakuepushia migogoro isiyo ya lazima ambayo ndio hukupagawisha na kujiona una gundu
Ajataja hao 8 ni kina nani lakini nimeelewa kuwa Ni ndugu zake kwamaana wadogo zake anamajukumu ya kuhudumia maana katika umri wetu ambao Ni transition stage wazazi wanakuwa hawana nguvu, hawana kipato, mmoja kafariki au wote nk Sasa nashindwaga kielewa wewe huna uwelewa huo au wewe kutokea familia zakina Bakhresa na MO

Mimi kioato changu kidogo sanaa hata mwenyewe akinitoshi kabisa ila ninawajibu wa kuchangiachangia mahitaji ya HOME
 
Back
Top Bottom