Natafuta mtaalam wa kunisaidia kupata ajira na kuniondolea gundu

Natafuta mtaalam wa kunisaidia kupata ajira na kuniondolea gundu

Kama heading inavyojieleza bado naangaika kusaka ajira. Kuna siku niweka uzi nikaukimbia watu wana maneno makali sana unaweza jiona hufai tena.

Sijachanganyikiwa kama wengine wanavyoamini mimi nipo timamu kabisa.

Kuna wakati nilizunguka uko kwa wataalam sikufanikiwa sababu naona ilikuwa uwezo wao nikakata tamaa ila nimeamua nirudi tena sina options.

Najua kuna watu wamevuka stage ya utoto wanayaelewa vizuri maisha na watanielewa kinachonisumbua

Natafuta mtaalam wa jadi mzuri ataeweza nisaidia kupata kazi na kuniondolea gundu.

Maana kwa sasa kila nachojaribu kufanya kinaishia kuharibika naomba kazi miaka 3+ natoswa siku hizi sipati hata simu ya interview nna mwaka sasa.

Ningefurahi zaidi angekuwa Dar maana pia nauli ya kwenda mbali na DSM ni changamoto kwangu ila kama anakuwa mbali sio mbaya nitapambana nimfate.

Nasubiri msaada PM.

Mtaonitukana nimewasamehe in advance.
huko tu kumtafuta huyo mtaalamu me naona ndo ajira yenyewe, we mtakatifu yamekushinda ya wathungu naona umeamua kurudi nyumbani chetu ni chetu
 
Kama heading inavyojieleza bado naangaika kusaka ajira. Kuna siku niweka uzi nikaukimbia watu wana maneno makali sana unaweza jiona hufai tena.

Sijachanganyikiwa kama wengine wanavyoamini mimi nipo timamu kabisa.

Kuna wakati nilizunguka uko kwa wataalam sikufanikiwa sababu naona ilikuwa uwezo wao nikakata tamaa ila nimeamua nirudi tena sina options.

Najua kuna watu wamevuka stage ya utoto wanayaelewa vizuri maisha na watanielewa kinachonisumbua

Natafuta mtaalam wa jadi mzuri ataeweza nisaidia kupata kazi na kuniondolea gundu.

Maana kwa sasa kila nachojaribu kufanya kinaishia kuharibika naomba kazi miaka 3+ natoswa siku hizi sipati hata simu ya interview nna mwaka sasa.

Ningefurahi zaidi angekuwa Dar maana pia nauli ya kwenda mbali na DSM ni changamoto kwangu ila kama anakuwa mbali sio mbaya nitapambana nimfate.

Nasubiri msaada PM.

Mtaonitukana nimewasamehe in advance.
Mkuu kuna mtaalamu hata kama ujaenda shule unaenda kuomba KAZI yale majengo marefu pesa zinapokaa ni noma
 
Kama heading inavyojieleza bado naangaika kusaka ajira. Kuna siku niweka uzi nikaukimbia watu wana maneno makali sana unaweza jiona hufai tena.

Sijachanganyikiwa kama wengine wanavyoamini mimi nipo timamu kabisa.

Kuna wakati nilizunguka uko kwa wataalam sikufanikiwa sababu naona ilikuwa uwezo wao nikakata tamaa ila nimeamua nirudi tena sina options.

Najua kuna watu wamevuka stage ya utoto wanayaelewa vizuri maisha na watanielewa kinachonisumbua

Natafuta mtaalam wa jadi mzuri ataeweza nisaidia kupata kazi na kuniondolea gundu.

Maana kwa sasa kila nachojaribu kufanya kinaishia kuharibika naomba kazi miaka 3+ natoswa siku hizi sipati hata simu ya interview nna mwaka sasa.

Ningefurahi zaidi angekuwa Dar maana pia nauli ya kwenda mbali na DSM ni changamoto kwangu ila kama anakuwa mbali sio mbaya nitapambana nimfate.

Nasubiri msaada PM.

Mtaonitukana nimewasamehe in advance.
Bila shaka wewe hutukanwi bali unaambiwa ukweli na wewe unaona ni matusi! Hakuna mganga wa kuweza kukusaidia kwenye hili. Wangekuwepo waganga wa aina hii mitaani kusingekuwa na jobles. Huyo ''mtaalam'' mwenyewe unayedhani yupo, chunguza vizuri, utakuta na yeye alikosa ajira akaamua kujiajiri kwa kuwa ''mtaalam''.
 
Bila shaka wewe hutukanwi bali unaambiwa ukweli na wewe unaona ni matusi! Hakuna mganga wa kuweza kukusaidia kwenye hili. Wangekuwepo waganga wa aina hii mitaani kusingekuwa na jobles. Huyo ''mtaalam'' mwenyewe unayedhani yupo, chunguza vizuri, utakuta na yeye alikosa ajira akaamua kujiajiri kwa kuwa ''mtaalam''.
Maisha ni fumbo zito ndugu yangu.
 
Back
Top Bottom