Natafuta mtu wa kufanya naye biashara

Labda hukunielewa hiyo post yangu
"Umeandika kama mtu asiyekuwa na elimu" ilikuwa imemlenga Nani? Rejea tena kucheki.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana nimekuelewa na ndio maana nimekwambia achana na huyo jamaa mana hao watu wapo kwenye jamii zetu hvo hatuwez waepuka sikumaanisha wewe mkuu sabu nmekuelewa
 
Wewe si unavua tu then unategesha kesho men anaacha 10k unaona mambo rahisi sasa umemshauri nn apo jaribu kuvaa viatu vyake uone we unasema cheti hakina maana unajua maana ya cheti ww.
 
Reactions: PYD
Wewe si unavua tu then unategesha kesho men anaacha 10k unaona mambo rahisi sasa umemshauri nn apo jaribu kuvaa viatu vyake uone we unasema cheti hakina maana unajua maana ya cheti ww.



Sijui maana ya cheti bwana sijawahi pata cheti maishani mwangu. Kusoma si mnasoma nyie wanaume sisi wanawake msingi kiuno[emoji81][emoji81][emoji81]

Hlf acha kumwachia mkeo 10k, matumizi yamepanda siku hizi
 


Sijui maana ya cheti bwana sijawahi pata cheti maishani mwangu. Kusoma si mnasoma nyie wanaume sisi wanawake msingi kiuno[emoji81][emoji81][emoji81]

Hlf acha kumwachia mkeo 10k, matumizi yamepanda siku hizi
Sawa taarifa imefika.
 
Je unauhakika na soko lenyewe. Pm mchanganuo wa hiyo biashara
 

Mdogo wangu una wazo sahihi na linatekelezeka, lakini jiulize kitu kimoja
Hapa JF pekee jina umeficha na hata simu hutoi, unataka kuaminika mtu akupe pesa yake.

Pia kwa ujumla sidhani kama kuna mtu ana pesa yake ameshindwa kuiendeleza, labda kama kaiiba, vinginevyo alivyoipata ndo njia sahihi kwake na atashikilia hapohapo
 
Swala la jina kamili na simu sioni kama ni tatizo ikiwa hamna mtu atakaekuwa na nia ya kufanya kazi namim bila kunijua kinaga ubaga so kwa walio serious tayari wamenipm na nimewapa scope of work na wamenielewa hivo asante kwa ushauri bro.

But ujue katika hili wanufaika ni wote na usiishi kwa kukariri kuwa kila walio na hela ambazo zipo zinasubili mawazo chanya na endelevu basi wameiba.... hata mimi nlishawah kuwa na hela lakini sikuona fursa ya kuwekeza mpaka nlipoishia kuzitumia kivingine hvo saivi nmeona fursa lakini pesa changmoto hvo maisha yanabadilika na tunajifunza, pia tunaona mengi ndio mana nakwambia wapo hao watu na hawajaiba hzo pesa ni jasho lao.
 
Kila la kheri
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…