Natafuta mtu wa kufanya naye biashara

Natafuta mtu wa kufanya naye biashara

Labda hukunielewa hiyo post yangu
"Umeandika kama mtu asiyekuwa na elimu" ilikuwa imemlenga Nani? Rejea tena kucheki.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana nimekuelewa na ndio maana nimekwambia achana na huyo jamaa mana hao watu wapo kwenye jamii zetu hvo hatuwez waepuka sikumaanisha wewe mkuu sabu nmekuelewa
 
Wimbi la vijana wa kuomba aidha mkopo au msaada wa kifedha na kusema “naweka vyeti vyangu dhamana” limeongezeka.

Swali langu: Sasa vyeti vyako mtu atavifanyia nini incase ukikiuka makubaliano? Cheti hakina thamani hadi kiwe na mwenye cheti. Tena kwa zama hizi za Magu hakuna hata anayeweza nunua cheti feki.

Kwanza wengi wenu ni wale ambao vyeti wala havina maana kwenu mfano wewe uliyesoma IT hlf unataka kuuza nafaka. Means cheti umegundua hakina issue.
Wewe si unavua tu then unategesha kesho men anaacha 10k unaona mambo rahisi sasa umemshauri nn apo jaribu kuvaa viatu vyake uone we unasema cheti hakina maana unajua maana ya cheti ww.
 
  • Thanks
Reactions: PYD
Wewe si unavua tu then unategesha kesho men anaacha 10k unaona mambo rahisi sasa umemshauri nn apo jaribu kuvaa viatu vyake uone we unasema cheti hakina maana unajua maana ya cheti ww.

giphy.gif


Sijui maana ya cheti bwana sijawahi pata cheti maishani mwangu. Kusoma si mnasoma nyie wanaume sisi wanawake msingi kiuno[emoji81][emoji81][emoji81]

Hlf acha kumwachia mkeo 10k, matumizi yamepanda siku hizi
 
giphy.gif


Sijui maana ya cheti bwana sijawahi pata cheti maishani mwangu. Kusoma si mnasoma nyie wanaume sisi wanawake msingi kiuno[emoji81][emoji81][emoji81]

Hlf acha kumwachia mkeo 10k, matumizi yamepanda siku hizi
Sawa taarifa imefika.
 
Mimi ni Kijana mwenye bachelor yangu ya IT lakini nimeamua kujikita kwenye biashara ya ununuzi wa mazao kama soya, ufuta na mahindi kwa kipindi hiki cha mavuno kutokana na kuwa na uzoefu na biashara hii kwa muda mrefu sababu nimekulia mazingira ya kijijini.

Lengo langu nipate mtu atakayekuwa tayari kutoa mtaji ili tuweze kufanya biashara hii maana kinachonikwamisha ni mtaji tu!

Nipo tayari kutoa vyeti vyangu kama dhamana ili kujenga uaminifu kwa siku za mwanzo za biashara. Nafikiri mwenye nia njema naomba anipm kwa maelezo zaidi
Je unauhakika na soko lenyewe. Pm mchanganuo wa hiyo biashara
 
Uupo sahihi siwezi kukupinga ila raha ya ngoma wanaijua wanaocheza na laiti ungejua Graduate wanachopitia kwa sasa hata wale wenye gpa za first class usingezungumza kwa mihemko hivo lakini kwa swala la thamani ya vyeti uko sahihi sikupingi ila mwenye akili timamu atajua unataka kuonesha uzito tu wa jambo na sio uhakisia kuwa mtu atakupa pesa kwa dhamana ya vyeti ila kama ntapata nafasi ya kuonana na mwenye nia means tunaweza kaa chini tukapanga njia bora ya kuendeleza wazo langu na huku yeye akiwa mshiriki pia.

Mdogo wangu una wazo sahihi na linatekelezeka, lakini jiulize kitu kimoja
Hapa JF pekee jina umeficha na hata simu hutoi, unataka kuaminika mtu akupe pesa yake.

Pia kwa ujumla sidhani kama kuna mtu ana pesa yake ameshindwa kuiendeleza, labda kama kaiiba, vinginevyo alivyoipata ndo njia sahihi kwake na atashikilia hapohapo
 
Mdogo wangu una wazo sahihi na linatekelezeka, lakini jiulize kitu kimoja
Hapa JF pekee jina umeficha na hata simu hutoi, unataka kuaminika mtu akupe pesa yake.
Pia kwa ujumla sidhani kama kuna mtu ana pesa yake ameshindwa kuiendeleza, labda kama kaiiba, vinginevyo alivyoipata ndo njia sahihi kwake na atashikilia hapohapo
Swala la jina kamili na simu sioni kama ni tatizo ikiwa hamna mtu atakaekuwa na nia ya kufanya kazi namim bila kunijua kinaga ubaga so kwa walio serious tayari wamenipm na nimewapa scope of work na wamenielewa hivo asante kwa ushauri bro.

But ujue katika hili wanufaika ni wote na usiishi kwa kukariri kuwa kila walio na hela ambazo zipo zinasubili mawazo chanya na endelevu basi wameiba.... hata mimi nlishawah kuwa na hela lakini sikuona fursa ya kuwekeza mpaka nlipoishia kuzitumia kivingine hvo saivi nmeona fursa lakini pesa changmoto hvo maisha yanabadilika na tunajifunza, pia tunaona mengi ndio mana nakwambia wapo hao watu na hawajaiba hzo pesa ni jasho lao.
 
Swala la jina kamili na simu sioni kama ni tatizo ikiwa hamna mtu atakaekuwa na nia ya kufanya kazi namim bila kunijua kinaga ubaga so kwa walio serious tayari wamenipm na nimewapa scope of work na wamenielewa hivo asante kwa ushauri bro. But ujue katika hili wanufaika ni wote na usiishi kwa kukariri kuwa kila walio na hela ambazo zipo zinasubili mawazo chanya na endelevu basi wameiba.... hata mimi nlishawah kuwa na hela lakini sikuona fursa ya kuwekeza mpaka nlipoishia kuzitumia kivingine hvo saivi nmeona fursa lakini pesa changmoto hvo maisha yanabadilika na tunajifunza, pia tunaona mengi ndio mana nakwambia wapo hao watu na hawajaiba hzo pesa ni jasho lao.
Kila la kheri
 
Back
Top Bottom