- Thread starter
- #61
Hapana nimekuelewa na ndio maana nimekwambia achana na huyo jamaa mana hao watu wapo kwenye jamii zetu hvo hatuwez waepuka sikumaanisha wewe mkuu sabu nmekuelewaLabda hukunielewa hiyo post yangu
"Umeandika kama mtu asiyekuwa na elimu" ilikuwa imemlenga Nani? Rejea tena kucheki.
Sent using Jamii Forums mobile app