Zurie
JF-Expert Member
- Jul 6, 2014
- 2,012
- 5,571
Sijataka huruma na wala huwezi lazimisha kusaidiwa ila nnachosema kuwa shida ya watu weng ni kudhani kuwa mawazo yetu ndio mawazo ya jamii nzima lakini unasahau kuwa hiyo ni kwa mujibu wako lakini wapo wenye mitazamo tofaut juu ya post yangu hvo si vyema kuonesha jamii kuwa unauelewa zaidi kuliko ila wazo lako ni muhimu kwangu pia na nshukuru hata kwa muda wako kucomment kwenye post yangu means umeguswa ila umejaribu kueleza kwa namna umeona itanisaidia. Asante ndugu
Sasa mkuu, ndio maana tukiweka mawazo jukwaani yanawekewa majina yetu kuonesha kwamba ni yetu binafsi. Wewe usihofu kuwa kwa mimi kusema hivyo utakosa business partner. Kama ipo ipo tu ila nakusaidia kuboresha mawazo yako(endapo itakufaa).
Kuhusu huruma umeitafuta sababu umesema “hujui graduates magumu wanayopitia”. Sasa kwa magumu yenu ndo msikosolewe?
Mungu akubariki mkuu, ufikie ndoto zako!