Natafuta mtu wa kusogeza naye siku

Natafuta mtu wa kusogeza naye siku

Hujakosea hata tone ila inshort mtaani kwetu hawanitaki cause na sura ngumu halafu pia natafuta hela ya saloon.
Kwani yule uliyempata kwenye thread yako ya kutafuta mme kaishia wapi? Samahani lkn
 
Isije kuwa anatafuta kitonga afu full masharti
Masharti yako wapi hapo mbona marahisi mno cause kama unakunywa pombe naamini kuna wanawake wanapenda pombe ila kwangu mimi no.Au kupima ukimwi ni sharti mi naona hicho ni kitu cha lazima cause ukimwi sasa umezagaa mno au unataka nijikaange tu hata kama mtu mwathirika ikitokea nimepata maambukizo utanisaidia kunywa dozi?
 
Ok naona maswali PM yanakua mengi kuhusu kusogeza siku namaanisha nini yani inshort utakuwa huru kuwa na mtu wako nami nitakuwa huru kuwa na wangu nikimpata nimpendae so hii relation itakuwa just friend cause nikipata nitayemridhia itavunjika
.So nahitaji tu mtu wa kunicare na pia kuhusu swala la sex jua kabisa hatutasex mpaka tutaporudia vipimo vya mara ya pili ili kulinda usalama wangu.
Upuuzi mtupu.

JamiiForums Moderator hizi thread za hivi ni za kufuta. Kuna watu wapo serious wanatafuta wachumba/wake/waume hawapati kisa upuuzi upuuzi tu.
 
Chura haina shida miguu je maana watu wanasema gari n rim ndiyo muonekano wa gari
 
Sogeza siku na TV madam.

Mtoto wa miaka 24 mwenye degree uje utafute mwanaume Mtandaoni?

Wako wapi ulosoma nao chuo?

Mtaani kwenu hakuna wanaume? (Au dharau na makidai yako yamefanya hawakutaki tena unajistukia)

Ofisini kwenu hakuna mabachela? (Au hauna kazi yeyote ndio unatafuta msaada huku wa kulipiwa pango na saloon)
Mkuu, hao aliosoma nao hawamo mitandaoni? Hao wa mtaani je nao hawapo mitandaoni? Nadhani hii ni sehemu tu kama sehemu zingine, mitaani, kanisani, barabarani n.k
 
wakusogeza siku bado unataka na umri, na kazi na elimu lol,
wewe ungesema natafuta mwanaume mashine mwenye akili timamu baasi.

ndio mnaojilengesha mimba ndiii ndoa zisizo na matarajio baadae vilio msitafute wachumba Jf. kwi kwi kwi.
 
Ok naona maswali PM yanakua mengi kuhusu kusogeza siku namaanisha nini yani inshort utakuwa huru kuwa na mtu wako nami nitakuwa huru kuwa na wangu nikimpata nimpendae so hii relation itakuwa just friend cause nikipata nitayemridhia itavunjika
.So nahitaji tu mtu wa kunicare na pia kuhusu swala la sex jua kabisa hatutasex mpaka tutaporudia vipimo vya mara ya pili ili kulinda usalama wangu.
Heeeeeh!!! nasikia OHIO business ime drop sana.... ila sio mbaya, very creative.

[emoji485] [emoji489]
Happy Independence Day.
 
wakusogeza siku bado unataka na umri, na kazi na elimu lol,
wewe ungesema natafuta mwanaume mashine mwenye akili timamu baasi.

ndio mnaojilengesha mimba ndiii ndoa zisizo na matarajio baadae vilio msitafute wachumba Jf. kwi kwi kwi.
Huwa nakuelewa.. keep it up.

I'm in love with you. Baadae ndiyo wa kuja kulalamika ooh Jf watu wahuni usitafute mwanaume/mwanamke humu. Ni upuuzi.
Kweli kabisa Bro,
upuuzi kiwango cha fly over.... lol.
 
Back
Top Bottom