OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Na mimi natafuta mchuchu ambaye ni shabiki wa Simba Sc. Tukutane Simba Day hapo Daslamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni mwanamke, umri 36, naishi Singida, makazi rasmi ni Arusha. Kazi ni Secretary nimeajiriwa na kampuni binafsi, sijaolewa nina mtoto 1, Mkristo mhofu ya Mungu, body size medium, situmii pombe.
Natafuta mchumba/mume, umri miaka 37-40, awe Mkristo, mwenye hofu ya Mungu, mwenye kazi yoyote halali yenye kipato kizuri, mpenda maendeleo, kabila lolote, asiwe mlevi, asiwe anavuta sigara.
Kama una vigezo tukutane PM kwa mwanaume serious tu. Kashfa, matusi na kejeli haviruhusiwi .
Ahsante
....mbona kama nastahili..mi Nina kipato kizur Nina miaka 39..napenda maendeleo...sio mlevi...japo mara chache natumia kiasi...mkristo...Nina watoto wanne...wa3 naishi nao na mmoja Huwa anakuja likizo...baby mama wangu mkorofi hivyo tegemea Kashi Kashi za hapa na pale...naishi na dada zangu watatu ni sehem ya familia...nipo Dodoma...vitu vingine tutazungukza PM...ila nafurahi sana kukutana na wewe Mzee mwenzangu.....njoo tuchanganye watoto na tuongeze japo wawili kuwaunganisha Hawa watoto wetu...njoo tumalizie maisha mama...WANAKUITA MAMA NANI VILE....Mimi ni mwanamke, umri 36, naishi Singida, makazi rasmi ni Arusha. Kazi ni Secretary nimeajiriwa na kampuni binafsi, sijaolewa nina mtoto 1, Mkristo mhofu ya Mungu, body size medium, situmii pombe.
Natafuta mchumba/mume, umri miaka 37-40, awe Mkristo, mwenye hofu ya Mungu, mwenye kazi yoyote halali yenye kipato kizuri, mpenda maendeleo, kabila lolote, asiwe mlevi, asiwe anavuta sigara.
Kama una vigezo tukutane PM kwa mwanaume serious tu. Kashfa, matusi na kejeli haviruhusiwi .
Ahsante.
Mimi ni mwanamke, umri 36, naishi Singida, makazi rasmi ni Arusha. Kazi ni Secretary nimeajiriwa na kampuni binafsi, sijaolewa nina mtoto 1, Mkristo mhofu ya Mungu, body size medium, situmii pombe.
Natafuta mchumba/mume, umri miaka 37-40, awe Mkristo, mwenye hofu ya Mungu, mwenye kazi yoyote halali yenye kipato kizuri, mpenda maendeleo, kabila lolote, asiwe mlevi, asiwe anavuta sigara.
Kama una vigezo tukutane PM kwa mwanaume serious tu. Kashfa, matusi na kejeli haviruhusiwi .
Ahsante.
Kila la kheri Winner.Mimi ni mwanamke, umri 36, naishi Singida, makazi rasmi ni Arusha. Kazi ni Secretary nimeajiriwa na kampuni binafsi, sijaolewa nina mtoto 1, Mkristo mhofu ya Mungu, body size medium, situmii pombe.
Natafuta mchumba/mume, umri miaka 37-40, awe Mkristo, mwenye hofu ya Mungu, mwenye kazi yoyote halali yenye kipato kizuri, mpenda maendeleo, kabila lolote, asiwe mlevi, asiwe anavuta sigara.
Kama una vigezo tukutane PM kwa mwanaume serious tu. Kashfa, matusi na kejeli haviruhusiwi .
Ahsante.
Nakushauri hapo kwenye miaka iwe 37-50.Mimi ni mwanamke, umri 36, naishi Singida, makazi rasmi ni Arusha. Kazi ni Secretary nimeajiriwa na kampuni binafsi, sijaolewa nina mtoto 1, Mkristo mhofu ya Mungu, body size medium, situmii pombe.
Natafuta mchumba/mume, umri miaka 37-40, awe Mkristo, mwenye hofu ya Mungu, mwenye kazi yoyote halali yenye kipato kizuri, mpenda maendeleo, kabila lolote, asiwe mlevi, asiwe anavuta sigara.
Kama una vigezo tukutane PM kwa mwanaume serious tu. Kashfa, matusi na kejeli haviruhusiwi .
Ahsante.
Ndio ili niwe na amani, mwanamke hawezi kuwa na wanaume wawili kwa wakati mmojaUnataka mabaki ya mwili wake ee!
Dah acha kuuliza maswali yanayoumiza roho mkuuKwanini unadhani uliyezaa nae hakukuoa..??
Kila jambo lina sababu yake . Kwa jinsi unavyo jibu naona dada utakwama tu maana hakuna mwanaume anayependa mke wa aina yako[emoji1787] kama huna cha ku coment Pitaa hivii wewe.
Pm zipi na wewe[emoji38][emoji38][emoji38]Ohhhhh....[emoji4]
Basi sawa mkuu, mbona haujibu PM zangu..[emoji41]
Hofu ya Mungu inakaa wapi iwapo una mtoto 1 kabla hujaolewa?sijaolewa nina mtoto 1, Mkristo mhofu ya Mungu
Nilituma PM ya posa babe...😋Pm zipi na wewe[emoji38][emoji38][emoji38]
Umechanganya
Tafanye kama anavyo takaIkishakuvutia? NyambafuuuWauni
Winner usikatishwe tamaa na wachache wanaokukejeli naamini mungu atakupa hitaji la moyo wakoMimi ni mwanamke, umri 36, naishi Singida, makazi rasmi ni Arusha. Kazi ni Secretary nimeajiriwa na kampuni binafsi, sijaolewa nina mtoto 1, Mkristo mhofu ya Mungu, body size medium, situmii pombe.
Natafuta mchumba/mume, umri miaka 37-40, awe Mkristo, mwenye hofu ya Mungu, mwenye kazi yoyote halali yenye kipato kizuri, mpenda maendeleo, kabila lolote, asiwe mlevi, asiwe anavuta sigara.
Kama una vigezo tukutane PM kwa mwanaume serious tu. Kashfa, matusi na kejeli haviruhusiwi .
Ahsante.
😆😆😆😆😆Kaburi la mumeo wa awali lipo tulione?