Natafuta Mume aliye serious anayetaka mke. Nina miaka 36

Natafuta Mume aliye serious anayetaka mke. Nina miaka 36

Kuna Imam wa msikitini anatafuta mke wa pili, kama upo tayari nikuoze.

Tena na kazi atakupatia hapohapo msikitini.

Mcha Mungu, halewi, havuti sigara, yeye ni mkulima na Imam wa msikitini. Nikuunganishie Mkuranga hiyo, tena utakuwa jirani yangu, maana yeye ndiyo Imam wa msikitini kwetu hapa.
Unataka kumuingiza mwenzio kwenye ushirikina
 
Mkiwa na miaka 20+ mnadengua tukitaka kuwaoa!

Sasa umezalishwa na jamaa kasepa unataka kumuangushia mzigo kijana wa watu.


Lea mwanao achana na sisi
 
Sweetheart,
Ni kweli humu ndani kuna makwazo lakini kwa namna hii kweli..!? Mwanaume mwenye nia akiona kauli kama hizi tayari kwake ni turn-off..!!

Hao wanaokufanyia kejeli ungeachana nao tu kisha wewe ujitahidi ku focus na jambo lako naamini utafanikiwa..!

Halafu wenye nia kweli watakuja PM siyo hawa wanaojisemesha hapa kwenye comments my dear..!!
Hafai huyu. Hana uvumilivu hata kwenye vitu vidogo sana.
 
Mimi ni mwanamke, umri 36, naishi Singida, makazi rasmi ni Arusha. Kazi ni Secretary nimeajiriwa na kampuni binafsi, sijaolewa nina mtoto 1, Mkristo mhofu ya Mungu, body size medium, situmii pombe.

Natafuta mchumba/mume, umri miaka 37-40, awe Mkristo, mwenye hofu ya Mungu, mwenye kazi yoyote halali yenye kipato kizuri, mpenda maendeleo, kabila lolote, asiwe mlevi, asiwe anavuta sigara.

Kama una vigezo tukutane PM kwa mwanaume serious tu. Kashfa, matusi na kejeli haviruhusiwi .

Ahsante.
Mungu mwenyezi akujalie hitaji la moyo wako, kwa haraka zaidi. Amen!
 
Mimi niko tayari kipato changu papatu papatu na niko na watoto wawili
 
Back
Top Bottom