Snapdragon 8
JF-Expert Member
- Jan 16, 2023
- 1,046
- 3,781
Mimi ni mpangaji mkuuWewe ndio huyo mwenye nyuma?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi ni mpangaji mkuuWewe ndio huyo mwenye nyuma?
Kwa ukali ndo maana bado anapuyanga na hiyo 36Acha ukali sasa bibie!
Waone mnamtesa mwenzenu sura mbaya kama mr bean🤣🤣🤣 mwenyewe upo single kuanzia 70 hadi waleo unamsema mwenzenu na vile viatu vyenu kama greda za tanroadsKwa ukali ndo maana bado anapuyanga na hiyo 36
Umejuaje [emoji1][emoji1][emoji1]Waone mnamtesa mwenzenu sura mbaya kama mr bean[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mwenyewe upo single kuanzia 70 hadi waleo unamsema mwenzenu na vile viatu vyenu kama greda za tanroads
Hadi umeweka hiyo picha ni mchezo sasaUmejuaje [emoji1][emoji1][emoji1]
Nani alikuambia nataka kuolewa mke wa pili? Mtafutie ustadhati umpelekee sawa wewe keeee.....
Just text me through 073804171Mimi ni mwanamke, umri 36, naishi Singida, makazi rasmi ni Arusha. Kazi ni Secretary nimeajiriwa na kampuni binafsi, sijaolewa nina mtoto 1, Mkristo mhofu ya Mungu, body size medium, situmii pombe.
Natafuta mchumba/mume, umri miaka 37-40, awe Mkristo, mwenye hofu ya Mungu, mwenye kazi yoyote halali yenye kipato kizuri, mpenda maendeleo, kabila lolote, asiwe mlevi, asiwe anavuta sigara.
Kama una vigezo tukutane PM kwa mwanaume serious tu. Kashfa, matusi na kejeli haviruhusiwi .
Ahsante.
Je hatoomba jicho?Kuna Imam wa msikitini anatafuta mke wa pili, kama upo tayari nikuoze.
Tena na kazi atakupatia hapohapo msikitini.
Mcha Mungu, halewi, havuti sigara, yeye ni mkulima na Imam wa msikitini. Nikuunganishie Mkuranga hiyo, tena utakuwa jirani yangu, maana yeye ndiyo Imam wa msikitini kwetu hapa.
kwani huyo mwanamke anakuja hana macho? Kipofu?Je hatoomba jicho?
Subiri uolewe ndio utagundua ndoa inakera zaidi kuliko hawa wanaocoment hapaOkay dear [emoji16][emoji16] nimejitahidi kuwa kimya but wanakera sanaa jamanii. Mizahaa mingi sana mpaka inakera.
Duuuh! Unataka kugundua nini?Umeishampata?
Ilikuja baada ya kuzaaHofu ya Mungu inakaa wapi iwapo una mtoto 1 kabla hujaolewa?