Natafuta Mume aliye serious anayetaka mke. Nina miaka 36

Natafuta Mume aliye serious anayetaka mke. Nina miaka 36

Nimesikitika sana baada ya kusoma comments za wadau, hamjui tu huyo binti amepitia yepi mpaka kufikia kuja kuanzisha Uzi humu ndani, tujaribu kuvaa viatu vyao kabla hatujachangia.
 
Mimi ni mwanamke, umri 36, naishi Singida, makazi rasmi ni Arusha. Kazi ni Secretary nimeajiriwa na kampuni binafsi, sijaolewa nina mtoto 1, Mkristo mhofu ya Mungu, body size medium, situmii pombe.

Natafuta mchumba/mume, umri miaka 37-40, awe Mkristo, mwenye hofu ya Mungu, mwenye kazi yoyote halali yenye kipato kizuri, mpenda maendeleo, kabila lolote, asiwe mlevi, asiwe anavuta sigara.

Kama una vigezo tukutane PM kwa mwanaume serious tu. Kashfa, matusi na kejeli haviruhusiwi .

Ahsante.
sawa kaka
 
Huyo imamu wako hajawaona wanawake wanakuja hapo msikiti anaposalisha.... Akimaliza swala atoke nje fasta aangalie warembo
Wanavaa hijabu na nikabu Imamu hawaoni vizuri uso wala miili yao anaogopa kuoa jini sababu majini pia huwa yanashiriki swala msikitini kwa mujibu wa kuruani
 
Nakumbuka nikiwa form 4, mama yangu alikua na miaka 36.
Umri mzuri huo. kakuzaa ana mika 20. Kuna watu form IV mama zao wana miaka 28.

Tembelea mikoa ya kusini ukajionee mambo huko, wengine miaka 26 mtoto yupo form IV.
 
Mimi ni mwanamke, umri 36, naishi Singida, makazi rasmi ni Arusha. Kazi ni Secretary nimeajiriwa na kampuni binafsi, sijaolewa nina mtoto 1, Mkristo mhofu ya Mungu, body size medium, situmii pombe.

Natafuta mchumba/mume, umri miaka 37-40, awe Mkristo, mwenye hofu ya Mungu, mwenye kazi yoyote halali yenye kipato kizuri, mpenda maendeleo, kabila lolote, asiwe mlevi, asiwe anavuta sigara.

Kama una vigezo tukutane PM kwa mwanaume serious tu. Kashfa, matusi na kejeli haviruhusiwi .

Ahsante.
Haya. Wanaovuta bangi mko wapi? Nyie ndo mmepewa kipaumbele leo.
 
Ila mijanaume ya siku hizi misenge,na hainaga hata huruma. Yaani mmewatelekeza wanawake,kutongoza hamtaki. Kula tunda kimasihara,inaonekana kasi imepungua. Mmeanza kusakwa mtandaoni!? Haya, na huku mnakuja kujidai hamueleweki,subirini sasa. Mtakuwa mnaitwa kushea dina,mnafungiwa,nguo zinalowekwa.
 
Kuna Imam wa msikitini anatafuta mke wa pili, kama upo tayari nikuoze.

Tena na kazi atakupatia hapohapo msikitini.

Mcha Mungu, halewi, havuti sigara, yeye ni mkulima na Imam wa msikitini. Nikuunganishie Mkuranga hiyo, tena utakuwa jirani yangu, maana yeye ndiyo Imam wa msikitini kwetu hapa.
Imam alikushindwa wewe,na uchawi wako,atamuweza huyo? Af kasema mkristo. Au huyo imam wenu hachagui dini
 
Wakiwa bado wadogo na wana machaguo mengi wanajibinua midomo, mwisho wa siku wanapewa mimba wanatelekezwa, alafu at 36, 4 years prior to Menopause ndo wanamiss ndoa, jau sana😂😂
Kumbuka hapa hajapata mtu hata hivo. Weka mwaka mmoja wa kuliwa tunda kimasihara na kuachwa. Weka mwaka mwingine wa kujiweka sawa tena. Weka mwaka mwigine wa kuolewa,na kujazwa. Weka miwili ya kunyonyesha. Yaani hapo umejitahidi sana,katapatikana katoto kamoja. Sasa kazaliwe na akili kama za maza. Kwisha habari. Mi naona angeondoa hivyo vigezo vyote
 
Back
Top Bottom