Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Usikute waliachana kisa kunywa pombeBaba wa mtoto yupo wapi?
Tuanzie hapo kwanza.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Usikute waliachana kisa kunywa pombeBaba wa mtoto yupo wapi?
Tuanzie hapo kwanza.
Untak kusema nini masterNakumbuka nikiwa form 4, mama yangu alikua na miaka 36.
sawa kakaMimi ni mwanamke, umri 36, naishi Singida, makazi rasmi ni Arusha. Kazi ni Secretary nimeajiriwa na kampuni binafsi, sijaolewa nina mtoto 1, Mkristo mhofu ya Mungu, body size medium, situmii pombe.
Natafuta mchumba/mume, umri miaka 37-40, awe Mkristo, mwenye hofu ya Mungu, mwenye kazi yoyote halali yenye kipato kizuri, mpenda maendeleo, kabila lolote, asiwe mlevi, asiwe anavuta sigara.
Kama una vigezo tukutane PM kwa mwanaume serious tu. Kashfa, matusi na kejeli haviruhusiwi .
Ahsante.
Wanavaa hijabu na nikabu Imamu hawaoni vizuri uso wala miili yao anaogopa kuoa jini sababu majini pia huwa yanashiriki swala msikitini kwa mujibu wa kuruaniHuyo imamu wako hajawaona wanawake wanakuja hapo msikiti anaposalisha.... Akimaliza swala atoke nje fasta aangalie warembo
Umri mzuri huo. kakuzaa ana mika 20. Kuna watu form IV mama zao wana miaka 28.Nakumbuka nikiwa form 4, mama yangu alikua na miaka 36.
Hata mechi haijaanza tayari 1-0.sijaolewa nina mtoto 1,
[emoji23][emoji23][emoji23] yeye hajui kuhusu hiliKuolewa mke wa pili ni heri kuliko kuwa mchepuko.
Haya. Wanaovuta bangi mko wapi? Nyie ndo mmepewa kipaumbele leo.Mimi ni mwanamke, umri 36, naishi Singida, makazi rasmi ni Arusha. Kazi ni Secretary nimeajiriwa na kampuni binafsi, sijaolewa nina mtoto 1, Mkristo mhofu ya Mungu, body size medium, situmii pombe.
Natafuta mchumba/mume, umri miaka 37-40, awe Mkristo, mwenye hofu ya Mungu, mwenye kazi yoyote halali yenye kipato kizuri, mpenda maendeleo, kabila lolote, asiwe mlevi, asiwe anavuta sigara.
Kama una vigezo tukutane PM kwa mwanaume serious tu. Kashfa, matusi na kejeli haviruhusiwi .
Ahsante.
Acha basiiiiii. Mpooze machungu basi mwambie ailaviuKwa umri wako wewe bora uendelee kuliwa kimasihara tu 😒😏
Imam alikushindwa wewe,na uchawi wako,atamuweza huyo? Af kasema mkristo. Au huyo imam wenu hachagui diniKuna Imam wa msikitini anatafuta mke wa pili, kama upo tayari nikuoze.
Tena na kazi atakupatia hapohapo msikitini.
Mcha Mungu, halewi, havuti sigara, yeye ni mkulima na Imam wa msikitini. Nikuunganishie Mkuranga hiyo, tena utakuwa jirani yangu, maana yeye ndiyo Imam wa msikitini kwetu hapa.
Mbona wewe hata wa kwanza hujaolewa?!Kuolewa mke wa pili ni heri kuliko kuwa mchepuko.
Kumbuka hapa hajapata mtu hata hivo. Weka mwaka mmoja wa kuliwa tunda kimasihara na kuachwa. Weka mwaka mwingine wa kujiweka sawa tena. Weka mwaka mwigine wa kuolewa,na kujazwa. Weka miwili ya kunyonyesha. Yaani hapo umejitahidi sana,katapatikana katoto kamoja. Sasa kazaliwe na akili kama za maza. Kwisha habari. Mi naona angeondoa hivyo vigezo vyoteWakiwa bado wadogo na wana machaguo mengi wanajibinua midomo, mwisho wa siku wanapewa mimba wanatelekezwa, alafu at 36, 4 years prior to Menopause ndo wanamiss ndoa, jau sana😂😂
Woti gozarawundi inakuwaje?Kumbe wanawake na nyinyi mnatafuta nilijua mnatafutwa