Faka25
JF-Expert Member
- Sep 14, 2021
- 1,738
- 1,134
Asante,Nina historia ndefu, kote huko nilifika[emoji3059]
Uko vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante,Nina historia ndefu, kote huko nilifika[emoji3059]
Hujapata mkuu?Asante sana ERoni[emoji4]
kwann?Nimejifunza kitu kitu hapa kupitia comment za watu hapa. Hakika sisi binadamu unafiki upo kwenye damu ni asili yetu kabisa
Basi tu. Ila elewa most of us ni hypocriteskwann?
Mimi ni wewe 💯 Sina huo ujasiriKila la kheri na Mungu akutangulie katika haja ya moyo wako.
Siku nitakayopata ujasiri wa kupima labda ndio siku nitakapokuwa nimeshakupoteza....
Mimi kupima labda nishikiwe mtutu wa bunduki huku nikibebwa na greda la Manispaa ya Kinondoni.....
Unaishi wapi mrembo ?Ni kweli..kikubwa uhai[emoji4][emoji4]
Rubish, kichwani umebeba Mapumba.Mmmhhh....!! Kitumbua kimeingia mchanga, hakiliki
Sitaki kuoa mie...wanawake wote mchosho tuumzabzab njoo uchukue jiko
Una akili mingi....njoo pm tuyajengeNakuelewa[emoji23][emoji23]
Upweke noma unahitaji kidume ndani ya nyumba bwanaMimi ni mwanamke, miaka 32, watoto wawili.
Baba wa watoto tumeachana muda kidogo, sijakata tamaa wala, nayapenda Maisha kweeli. Nimeajiriwa.
Natamani nipate mwanaune ambae ni HIV POSITIVE kama Mimi ili tutengeneze familia, upweke unachosha.
Karibu PM.