Natafuta mume bora kutoka JamiiForums

Natafuta mume bora kutoka JamiiForums

Gyme

New Member
Joined
Mar 1, 2023
Posts
4
Reaction score
16
Habari zenu,

Mimi ni binti mwenye miaka 24, natafuta rafiki, mpenzi ambae tutajenga urafiki na kama Mungu akijalia tufunge ndoa.

SIFA ZANGU
1. Mrefu maji ya kunde.
2. Nina mwili kiasi.

ELIMU
Kidato cha sita japokua nilibahatika kwenda chuo ila sikufanikiwa kumaliza kutokana na sababu za kiuchumi.

Dini: Mkristo.

Sifa za mwanaume
Anaependa kusali, kabila lolote, mpambanani, awe ameajiriwa au mfanyabiashara na pia awe na rangi yoyote tu kikubwa upendo na mapenzi ya dhati.

UMRI WA MWANAUME: MIAKA 28 up to 35

Asanteni, nitafurahi Mungu akinipa mume bora kupitia JamiiForums.
 
Habari zenu,

Mimi ni binti mwenye miaka 24, natafuta rafiki, mpenzi ambae tutajenga urafiki na kama Mungu akijalia tufunge ndoa.

SIFA ZANGU
1. Mrefu maji ya kunde.
2. Nina mwili kiasi.

ELIMU
Kidato cha sita japokua nilibahatika kwenda chuo ila sikufanikiwa kumaliza kutokana na sababu za kiuchumi.

Dini: Mkristo.

Sifa za mwanaume
Anaependa kusali, kabila lolote, mpambanani, awe ameajiriwa au mfanyabiashara na pia awe na rangi yoyote tu kikubwa upendo na mapenzi ya dhati.

UMRI WA MWANAUME: MIAKA 28 up to 35

Asanteni, nitafurahi Mungu akinipa mume bora kupitia JamiiForums.
Tuwasiliane Bibie!!
 
Habari zenu,

Mimi ni binti mwenye miaka 24, natafuta rafiki, mpenzi ambae tutajenga urafiki na kama Mungu akijalia tufunge ndoa.

SIFA ZANGU
1. Mrefu maji ya kunde.
2. Nina mwili kiasi.

ELIMU
Kidato cha sita japokua nilibahatika kwenda chuo ila sikufanikiwa kumaliza kutokana na sababu za kiuchumi.

Dini: Mkristo.

Sifa za mwanaume
Anaependa kusali, kabila lolote, mpambanani, awe ameajiriwa au mfanyabiashara na pia awe na rangi yoyote tu kikubwa upendo na mapenzi ya dhati.

UMRI WA MWANAUME: MIAKA 28 up to 35

Asanteni, nitafurahi Mungu akinipa mume bora kupitia JamiiForums.
Urefu vp?
 
Back
Top Bottom