Dreadnought
JF-Expert Member
- Mar 25, 2013
- 2,876
- 3,942
Kila la kheri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vingine mtaelewana hukohuko bhana,, chamsingi mke tena mbichi kabisa huyo badotatizo miaka
Tatizo la kiuchumi ndani ya biashara mkuuFanya biashara ujisaidie
😆 😆 😆 😆 mzee chronometer yangu inasoma 35+Unajikuta Shaiiiibu mwenyewe.
hapana, umri ushanikosesha chansiVingine mtaelewana hukohuko bhana,, chamsingi mke tena mbichi kabisa huyo bado
In shaa Allah ujaaliwe kupata kijana wa ndoto zako wa Kiislam.Habari zenu,
Mimi ni binti mwenye miaka 24, natafuta rafiki, mpenzi ambae tutajenga urafiki na kama Mungu akijalia tufunge ndoa.
SIFA ZANGU
1. Mrefu maji ya kunde.
2. Nina mwili kiasi.
ELIMU
Kidato cha sita japokua nilibahatika kwenda chuo ila sikufanikiwa kumaliza kutokana na sababu za kiuchumi.
Dini: Mkristo.
Sifa za mwanaume
Anaependa kusali, kabila lolote, mpambanani, awe ameajiriwa au mfanyabiashara na pia awe na rangi yoyote tu kikubwa upendo na mapenzi ya dhati.
UMRI WA MWANAUME: MIAKA 28 up to 35
Asanteni, nitafurahi Mungu akinipa mume bora kupitia JamiiForums.
Wewe hutaki tu kuoa🤒🤒🤒...tena nimeshangaa umekua mstaarabu hujaja na yake maandishi yako meusiiiii😂😂😂😂😂hapana, umri ushanikosesha chansi
Huwezi kupata full package kwahizo sifa hapo unazungumzia wanaume 6 hivi tofauti.Sifa za mwanaume
Anaependa kusali, kabila lolote, mpambanaji, awe ameajiriwa au mfanyabiashara na pia awe na rangi yoyote tu kikubwa upendo na mapenzi ya dhati.
😄 😄 😄 😄Huwezi kupata full package kwahizo sifa ujue unazungumzia wanaume 6 hivi tofauti.
Una miaka 22? Ndio maana una fujo sana🙂 🙂 miaka tu ndiyo imenikosesha nafasi aisee ninge apply mbona
😆 😆 😆 😆 mzee chronometer yangu inasoma 35+
😂😂😂😂 yale Love Connect mwikoyake maandishi yako meusiiiii😂😂😂😂😂
Sawasawa😂😂😂😂 yale Love Connect mwiko
🫥 🫥 🫥 huyu HB kanizidi mimi aiseeView attachment 2718371
Kuwa serious Azan Jr.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sikutegemea hili jibuFanya biashara ujisaidie
hapana niko nakaribia 40 , na home ni Kwa MbikiUna miaka 22? Ndio maana una fujo sana