Natafuta mume bora kutoka JamiiForums

Natafuta mume bora kutoka JamiiForums

Habari zenu,

Mimi ni binti mwenye miaka 24, natafuta rafiki, mpenzi ambae tutajenga urafiki na kama Mungu akijalia tufunge ndoa.

SIFA ZANGU
1. Mrefu maji ya kunde.
2. Nina mwili kiasi.

ELIMU
Kidato cha sita japokua nilibahatika kwenda chuo ila sikufanikiwa kumaliza kutokana na sababu za kiuchumi.

Dini: Mkristo.

Sifa za mwanaume
Anaependa kusali, kabila lolote, mpambanani, awe ameajiriwa au mfanyabiashara na pia awe na rangi yoyote tu kikubwa upendo na mapenzi ya dhati.

UMRI WA MWANAUME: MIAKA 28 up to 35

Asanteni, nitafurahi Mungu akinipa mume bora kupitia JamiiForums.


Mume (tick) Bora? Sio jamii forums
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sikutegemea hili jibu
Sio kila biashara inahitajika pesa..
Achangamke tu...
Kuna wadada wanapita madukani wanauliza bei za bidhaa na Ku post watsap Tu wanaweka cha juu chao baasi......wanajikwamua...
Wengine wanaandika "Na mikoani tunatuma" kumbe Hana hata bidhaa moja ...ukiwatumia hela ndo anaenda nunua..
Mjini hapa 😅
 
Sio kila biashara inahitajika pesa..
Achangamke tu...
Kuna wadada wanapita madukani wanauliza bei za bidhaa na Ku post watsap Tu wanaweka cha juu chao baasi......wanajikwamua...
Wengine wanaandika "Na mikoani tunatuma" kumbe Hana hata bidhaa moja ...ukiwatumia hela ndo anaenda nunua..
Mjini hapa [emoji28]
[emoji1787][emoji1787] biashara ya namna hiyo inataka mtu mjanja mjanja...mwizi-mwizi fulani hivi bila hivyo hutoboi
 
Back
Top Bottom