Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zipo biashara mtaji sio pesa ..ni information tu....Tatizo la kiuchumi ndani ya biashara mkuu
Kuhudumia kiumbe kinachopumua ni kazi 😀😀Hizo sababu za kiuchumi ndiyo wanaume wengi hawataki kuzisikia
Ndoto ya kila mwanamke😤 .🫥 🫥 🫥 huyu HB kanizidi mimi aisee
ila asiwe mwembamba au ?Ndoto ya kila mwanamke😤 .
Tol Dak hensam.
Ooh kumbe mhenga [emoji1787][emoji1787] kwani mtoa mada amesema hataki wa kwa mbiki? Nimejiuliza sababu ya wewe kutaja kwenuhapana niko nakaribia 40 , na home ni Kwa Mbiki
Habari zenu,
Mimi ni binti mwenye miaka 24, natafuta rafiki, mpenzi ambae tutajenga urafiki na kama Mungu akijalia tufunge ndoa.
SIFA ZANGU
1. Mrefu maji ya kunde.
2. Nina mwili kiasi.
ELIMU
Kidato cha sita japokua nilibahatika kwenda chuo ila sikufanikiwa kumaliza kutokana na sababu za kiuchumi.
Dini: Mkristo.
Sifa za mwanaume
Anaependa kusali, kabila lolote, mpambanani, awe ameajiriwa au mfanyabiashara na pia awe na rangi yoyote tu kikubwa upendo na mapenzi ya dhati.
UMRI WA MWANAUME: MIAKA 28 up to 35
Asanteni, nitafurahi Mungu akinipa mume bora kupitia JamiiForums.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] mbavu zanguMwanaume wa jf na mwanamke mwenye tatizo kiuchumi ni paka na panya
Sio kila biashara inahitajika pesa..[emoji1787][emoji1787][emoji1787] sikutegemea hili jibu
Umesema kweli kabisaWanawake wakiwa na hela hawawazagi sana mapenzi
ni mhenga kweli kweli na bonge na uwalaza 😄Ooh kumbe mhenga [emoji1787][emoji1787] kwani mtoa mada amesema hataki wa kwa mbiki? Nimejiuliza sababu ya wewe kutaja kwenu
VP asikatae ndoa???[emoji23][emoji23]Mungu akuongoze umpate aliye sahihi
🤣🤣🤭[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] mbavu zangu
Kijana uoe sasa.ila asiwe mwembamba au ?
[emoji1787][emoji1787] biashara ya namna hiyo inataka mtu mjanja mjanja...mwizi-mwizi fulani hivi bila hivyo hutoboiSio kila biashara inahitajika pesa..
Achangamke tu...
Kuna wadada wanapita madukani wanauliza bei za bidhaa na Ku post watsap Tu wanaweka cha juu chao baasi......wanajikwamua...
Wengine wanaandika "Na mikoani tunatuma" kumbe Hana hata bidhaa moja ...ukiwatumia hela ndo anaenda nunua..
Mjini hapa [emoji28]