dronedrake
JF-Expert Member
- Dec 25, 2013
- 23,901
- 58,103
huwa napenda nikipanda basi nishuke mwisho ujue 🙂si ungeenda hata pugu
njiani hatushushiiii, kituo cha kwanza "Baaaaresa'
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huwa napenda nikipanda basi nishuke mwisho ujue 🙂si ungeenda hata pugu
dah, sijui nikazie, ila huku Love Connect sikaziikataa NDOA
Simu zenyewe si Oking, Chwechwe na Jadu. Naona unaslaidi tu juu ya bati la kanisa.😂 😂 😂 kwa nini mzee
naona mizinga yao naimudu, 500 ya vocha kila wiki siyo mbaya
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hyo imeendaa mkuudah, sijui nikazie, ila huku Love Connect sikazii
Basi njoo nikukatie huku Zingiziwa kama unataka mwishohuwa napenda nikipanda basi nishuke mwisho ujue 🙂
njiani hatushushiiii, kituo cha kwanza "Baaaaresa'
😂 😂 😂 😂 😂 😂unaslaidi tu juu ya bati la kanisa.
Imekuaje kwaniView attachment 2718371
Kuwa serious Azan Jr.
mmh nikienda mjini si ntafika kesho kutwa ? butts zinaota na blisters kabisaBasi njoo nikukatie huku Zingiziwa kama unataka mwisho
Hate lengelenge hazijapoa kizinga tiiiiih, unatuma mzigo Huku unalia bila sauti.😂 😂 😂 😂 😂 😂
wale wa Tabata Noma aisee, ya kusuka pekee 15k
ni PMHabari zenu,
Mimi ni binti mwenye miaka 24, natafuta rafiki, mpenzi ambae tutajenga urafiki na kama Mungu akijalia tufunge ndoa.
SIFA ZANGU
1. Mrefu maji ya kunde.
2. Nina mwili kiasi.
ELIMU
Kidato cha sita japokua nilibahatika kwenda chuo ila sikufanikiwa kumaliza kutokana na sababu za kiuchumi.
Dini: Mkristo.
Sifa za mwanaume
Anaependa kusali, kabila lolote, mpambanani, awe ameajiriwa au mfanyabiashara na pia awe na rangi yoyote tu kikubwa upendo na mapenzi ya dhati.
UMRI WA MWANAUME: MIAKA 28 up to 35
Asanteni, nitafurahi Mungu akinipa mume bora kupitia JamiiForums.
😂 😂 😂 Moureen wa Segerea huyoHate lengelenge hazijapoa kizinga tiiiiih, unatuma mzigo Huku unalia bila sauti.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]mmh nikienda mjini si ntafika kesho kutwa ? butts zinaota na blisters kabisa
maana toka Msumbiji mpaka huko si mchezo, ni kipande
Watoto wa ilala mambo mengi ndugu.Imekuaje kwani
Bad gal Mou😂😂 😂 😂 Moureen wa Segerea huyo
hakuna huruma dadeki, hakuna utelezi wa bure
Naunga mkonoAchana na mambo sijui mweusi mara maji kunde, we weka picha tukuone...kwani dhambi kukuona,....?
Ety wakuuu
kama ni gari basi ni jini maimuna, hariaBad gal Mou😂
Angekuacha Pumbu na ngai.
Tuma picha yako my lovely dear wife to beHabari zenu,
Mimi ni binti mwenye miaka 24, natafuta rafiki, mpenzi ambae tutajenga urafiki na kama Mungu akijalia tufunge ndoa.
SIFA ZANGU
1. Mrefu maji ya kunde.
2. Nina mwili kiasi.
ELIMU
Kidato cha sita japokua nilibahatika kwenda chuo ila sikufanikiwa kumaliza kutokana na sababu za kiuchumi.
Dini: Mkristo.
Sifa za mwanaume
Anaependa kusali, kabila lolote, mpambanani, awe ameajiriwa au mfanyabiashara na pia awe na rangi yoyote tu kikubwa upendo na mapenzi ya dhati.
UMRI WA MWANAUME: MIAKA 28 up to 35
Asanteni, nitafurahi Mungu akinipa mume bora kupitia JamiiForums.
Picha TafadhaliHabari zenu,
Mimi ni binti mwenye miaka 24, natafuta rafiki, mpenzi ambae tutajenga urafiki na kama Mungu akijalia tufunge ndoa.
SIFA ZANGU
1. Mrefu maji ya kunde.
2. Nina mwili kiasi.
ELIMU
Kidato cha sita japokua nilibahatika kwenda chuo ila sikufanikiwa kumaliza kutokana na sababu za kiuchumi.
Dini: Mkristo.
Sifa za mwanaume
Anaependa kusali, kabila lolote, mpambanani, awe ameajiriwa au mfanyabiashara na pia awe na rangi yoyote tu kikubwa upendo na mapenzi ya dhati.
UMRI WA MWANAUME: MIAKA 28 up to 35
Asanteni, nitafurahi Mungu akinipa mume bora kupitia JamiiForums.