Natafuta mume bora kutoka JamiiForums

Natafuta mume bora kutoka JamiiForums

Habari zenu,

Mimi ni binti mwenye miaka 24, natafuta rafiki, mpenzi ambae tutajenga urafiki na kama Mungu akijalia tufunge ndoa.

SIFA ZANGU
1. Mrefu maji ya kunde.
2. Nina mwili kiasi.

ELIMU
Kidato cha sita japokua nilibahatika kwenda chuo ila sikufanikiwa kumaliza kutokana na sababu za kiuchumi.

Dini: Mkristo.

Sifa za mwanaume
Anaependa kusali, kabila lolote, mpambanani, awe ameajiriwa au mfanyabiashara na pia awe na rangi yoyote tu kikubwa upendo na mapenzi ya dhati.

UMRI WA MWANAUME: MIAKA 28 up to 35

Asanteni, nitafurahi Mungu akinipa mume bora kupitia JamiiForums.
Ningekuwa Mimi kabisa ila Nina Mke.

Kilala kheri
 
Aende kwa Mwamposa😅😅🤣
 
Habari zenu,

Mimi ni binti mwenye miaka 24, natafuta rafiki, mpenzi ambae tutajenga urafiki na kama Mungu akijalia tufunge ndoa.

SIFA ZANGU
1. Mrefu maji ya kunde.
2. Nina mwili kiasi.

ELIMU
Kidato cha sita japokua nilibahatika kwenda chuo ila sikufanikiwa kumaliza kutokana na sababu za kiuchumi.

Dini: Mkristo.

Sifa za mwanaume
Anaependa kusali, kabila lolote, mpambanani, awe ameajiriwa au mfanyabiashara na pia awe na rangi yoyote tu kikubwa upendo na mapenzi ya dhati.

UMRI WA MWANAUME: MIAKA 28 up to 35

Asanteni, nitafurahi Mungu akinipa mume bora kupitia JamiiForums.
Jasuma

Jipatie Mke.
 
Habari zenu,

Mimi ni binti mwenye miaka 24, natafuta rafiki, mpenzi ambae tutajenga urafiki na kama Mungu akijalia tufunge ndoa.

SIFA ZANGU
1. Mrefu maji ya kunde.
2. Nina mwili kiasi.

ELIMU
Kidato cha sita japokua nilibahatika kwenda chuo ila sikufanikiwa kumaliza kutokana na sababu za kiuchumi.

Dini: Mkristo.

Sifa za mwanaume
Anaependa kusali, kabila lolote, mpambanani, awe ameajiriwa au mfanyabiashara na pia awe na rangi yoyote tu kikubwa upendo na mapenzi ya dhati.

UMRI WA MWANAUME: MIAKA 28 up to 35

Asanteni, nitafurahi Mungu akinipa mume bora kupitia JamiiForums.
Karibu
 
Hapo nina sifa zote kasoro iyo ya kusali. Utaweza nifundisha?
 
Habari zenu,

Mimi ni binti mwenye miaka 24, natafuta rafiki, mpenzi ambae tutajenga urafiki na kama Mungu akijalia tufunge ndoa.

SIFA ZANGU
1. Mrefu maji ya kunde.
2. Nina mwili kiasi.

ELIMU
Kidato cha sita japokua nilibahatika kwenda chuo ila sikufanikiwa kumaliza kutokana na sababu za kiuchumi.

Dini: Mkristo.

Sifa za mwanaume
Anaependa kusali, kabila lolote, mpambanani, awe ameajiriwa au mfanyabiashara na pia awe na rangi yoyote tu kikubwa upendo na mapenzi ya dhati.

UMRI WA MWANAUME: MIAKA 28 up to 35

Asanteni, nitafurahi Mungu akinipa mume bora kupitia JamiiForums.
Mimi mwenye 38 nimepoteza sifa
 
Nakusihi usichague akina harmonise( wamakonde) hawamalizi kisasi Chao............utasimangwa mpaka ukonde na uwe mweusi kuzidi Black
 
Mmeshaelewa kwanini huwa wanataka umri wa mwanaume uwe mkubwa zaidi ya mwanamke? Tuinieni machache ya msingi hii ya kusema akikuzidi anakuwa anajielewa au kaacha utoto siiafiki .mtoa post nakutakia kilala kheri.
 
Back
Top Bottom