Natafuta mume, kwa yeyote aliye serious aje

Natafuta mume, kwa yeyote aliye serious aje

Baba wa mtoto wako akisikia tu umeolewa, atakuja kukuweka kimada upya. Watu irresponsible ndivyo walivyo, mwanamke akiwa free hawana hamu nae, akiolewa ghafla anakua mzuri.
Hivi hiii ni kweli? Na ikiwa baba mtoto alishaoa mke mwingine atahangaika tena na aliyemuacha?
 
Vigezo
Awe na 38-45
Dini yoyote
Awe na shughuli nipo serious nimechoka kukaa single aliyeserious aje pm

Mimi
Umri 30
Ninajishughulisha
Nina mtoto
Naishi Dar
Mengine tutaaambizana
Hakika utampata
 
Vigezo
Awe na 38-45
Dini yoyote
Awe na shughuli nipo serious nimechoka kukaa single aliyeserious aje pm

Mimi
Umri 30
Ninajishughulisha
Nina mtoto
Naishi Dar
Mengine tutaaambizana
Huyu mume aliye kusalisha Bado anaishi je Yuko api njoo pm tuyaje ge mm nataka ma single mamaz
 
Wew hutafut ndoa unatafuta dume ,maana huwez ukawa unatafuta ndoa useme dini yeyote itakuwa si sawa,ndoa ni kitu cha kiroho Kwanza kikristo inaitwa sakarament ya ndoa
Ya serikali nayo ni ndoa.
Usilazimishe wote waamini unacho amini.
 
Nikisikia tu mwanamke anaishi dar halafu anatafuta mume huwa nacheka sana.

Atakae kuoa ajiandae kukuta UKE MKUBWA KAMA ILE KENI YA NUSU LITA, ile tunapimia mafuta ya kula
But why mkuu?😳
 
𝐊𝐮𝐧𝐚 𝐬𝐡𝐢𝐝𝐚 𝐦𝐚𝐡𝐚𝐥𝐢 𝐧𝐠𝐨𝐣𝐚 𝐭𝐮𝐢𝐭𝐞 𝐟𝐮𝐧𝐝𝐢 𝐦𝐢𝐭𝐚𝐦𝐛𝐨 dronedrake
 
Mh! sio kwa hizi comment.... kila la kheri
 
Back
Top Bottom