Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Harafu hii sijui imekaaje.Baba wa mtoto wako akisikia tu umeolewa, atakuja kukuweka kimada upya. Watu irresponsible ndivyo walivyo, mwanamke akiwa free hawana hamu nae, akiolewa ghafla anakua mzuri.
Umejichanganya ukazaa kabla ya Kuolewa ukajifanya Mjanja basi imekula kwako maisha yako yoote.The single mothers pandemic is continuing storming
Mshauri wa wanawake ni chizi.Harafu hii sijui imekaaje.
Irresponsible men wapo wengi sana na bahati mbaya sana Mwanamke anarudi tena kwa jamaa
Kabisa. Tuna na maandalizi ya watoto shule.
Unaonekana upo Lessless sanaVigezo
Awe na 38-45
Dini yoyote
Awe na shughuli nipo serious nimechoka kukaa single aliyeserious aje pm
Mimi
Umri 30
Ninajishughulisha
Nina mtoto
Naishi Dar
Mengine tutaaambizana
Wakishafika 30 unafikiri wanachaguaga basi huwa wanasema yeyote tuWew hutafut ndoa unatafuta dume ,maana huwez ukawa unatafuta ndoa useme dini yeyote itakuwa si sawa,ndoa ni kitu cha kiroho Kwanza kikristo inaitwa sakarament ya ndoa
Acha kumsagia mwenzio kunguni bwana...mbona kina mzabzab tupo wala hatujali kama ataenda pasha moto mbususu kwa bby daddy wake.Wahakikishie kaburi dada, waamini upo serious....
Single mama😏Vigezo
Awe na 38-45
Dini yoyote
Awe na shughuli nipo serious nimechoka kukaa single aliyeserious aje pm
Mimi
Umri 30
Ninajishughulisha
Nina mtoto
Naishi Dar
Mengine tutaaambizana
Kwamba bila ndoa unakufa upumui tena mkuuUmejichanganya ukazaa kabla ya Kuolewa ukajifanya Mjanja basi imekula kwako maisha yako yoote.
[emoji23][emoji23][emoji23]Nina uhakika kwa kipato unifikii pimbi ww kafie kuzimu unadhan single mom wote tunadhiki kiazi kweli ww
Unadhan mm jobless kama ww ukute hata vizaz vyako vinasoma shule za vumbi maandaz ww
Acha mdomo mchafu na maneno ya shombo.Nina uhakika kwa kipato unifikii pimbi ww kafie kuzimu unadhan single mom wote tunadhiki kiazi kweli ww
Unadhan mm jobless kama ww ukute hata vizaz vyako vinasoma shule za vumbi maandaz ww
Hiv mtu unakuaje mpweke? Kutokua na mpenz kunasababisha upweke ki vip yan?All the best dear, Mungu akupe hitajio la moyo wako
Upweke sio mzuri kabisa
Hahahah kwakuwa hujawahi pitia huwezi elewa, endelea kumuomba Mungu akusimamie two is better than oneHiv mtu unakuaje mpweke? Kutokua na mpenz kunasababisha upweke ki vip yan?