Natafuta mume, kwa yeyote aliye serious aje

Natafuta mume, kwa yeyote aliye serious aje

Nakuongezea pole nyingine, Pole sana kwa yaliyokukuta
 
Baba wa mtoto wako akisikia tu umeolewa, atakuja kukuweka kimada upya. Watu irresponsible ndivyo walivyo, mwanamke akiwa free hawana hamu nae, akiolewa ghafla anakua mzuri.
Harafu hii sijui imekaaje.

Irresponsible men wapo wengi sana na bahati mbaya sana Mwanamke anarudi tena kwa jamaa
 
Nilikuwa najua mwanamke akipata mtoto ndio basi hana haja ya kuolewa.!
 
Huyo mtoto wako yupo darasa la ngapi.
Najitolea kumlipia ada umri wangu ni zaidi ya ulioandika(mstaafu)
Majirani zako,kanisani/msikitini kwako kote umekosa?
Humu vijana wengi wanapenda kulelewa na mashangazi.
Kila la kheri
 
Vigezo
Awe na 38-45
Dini yoyote
Awe na shughuli nipo serious nimechoka kukaa single aliyeserious aje pm

Mimi
Umri 30
Ninajishughulisha
Nina mtoto
Naishi Dar
Mengine tutaaambizana
Unaonekana upo Lessless sana
 
Wew hutafut ndoa unatafuta dume ,maana huwez ukawa unatafuta ndoa useme dini yeyote itakuwa si sawa,ndoa ni kitu cha kiroho Kwanza kikristo inaitwa sakarament ya ndoa
Wakishafika 30 unafikiri wanachaguaga basi huwa wanasema yeyote tu
 
Nina uhakika kwa kipato unifikii pimbi ww kafie kuzimu unadhan single mom wote tunadhiki kiazi kweli ww
Unadhan mm jobless kama ww ukute hata vizaz vyako vinasoma shule za vumbi maandaz ww
[emoji23][emoji23][emoji23]
Hapa hupati mume kwa haya matusi
Ndiyo maana uliyezaa nae alikukimbia pole
Kokaaa ndiyo maisha uliyochagua
Labda mario ila dume linalojitambua halikunusi kabsaa huo mdomo utakuponza

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Nina uhakika kwa kipato unifikii pimbi ww kafie kuzimu unadhan single mom wote tunadhiki kiazi kweli ww
Unadhan mm jobless kama ww ukute hata vizaz vyako vinasoma shule za vumbi maandaz ww
Acha mdomo mchafu na maneno ya shombo.
Nchi hii wanawake wachache wamenipita mkwanja,biliv this..))
Sina hakika kama nawe ni miongoni mwao hao wanawake.
Ubaya wangu ni nini kutaka kumsomesha mwanao?
Hasira hazijengi dada,mm sihusiki na chochote wala sikuwepo ulipokuwa unasema "mwagia ndani''
 
Back
Top Bottom