Natafuta mume, nina miaka 24

Shusha umri kidogo. Angalau nijaribu.
 
Tangazo hili bila picha ni ubatili mtupu.
Picha ya mbele, kulia, nyuma na kushoto tafadhali ili nijiridhishe.
 
Atakuwa amewalenga wenye financial stability

Hataki mwanaume wa kumwambia kuna deal nalisubiria πŸ˜…πŸ™Œ
Na ndo kosa wanalo lifanya, huyo men with stability.
πŸ‘‰Ana mke au mwanamke aliye so ya, au anaye mwelewa zaidi.
 
Nipe muda nikufikirie
maana mwanawake yuko tayari kufanya chochote ilimradi tu alale na wewe alaf baadae anakukimbia
 
Bila shaka umejiridhisha hao wa 20's wenzio hawana sifa muafaka 🀣🀣🀣🀣!!
 
Wale wa kuna mchongo nausikilizia (unene unatoka wap na sonona kama yote) mwali si wetu.
 
Dah nipo chuga pia sema ivyo vigezo sina hata kimoja japo umri wangu 27 tungetaftana tuenjoy tu one time two time huku ukitafta uyo mbaba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…