Natafuta mume, nina miaka 24

Natafuta mume, nina miaka 24

Kati ya vitu huwa sitaki kuvifikiria huwa ni pension aisee mm hata wasiponipa s awa tu , siku najaza contract 2008 hr akaniambia unaenda kuanza kazi na bado kijana mdogo kaanze kujipanga kustaf leo hii. Nliyashika maneno yake kama torati and napita kwenye ule mstari kama tren vile
Hongera kushtuka mapema kujiwekeza.

Ukisubiri umri wa kustaafu itafanya ufe mapema kabla hata Pension yako hujaipata
 
Hello,

Mimi ni binti wa miaka 24 natafuta mume awe mtu wa makamo umri 40 mpaka 50 awe mnene kiasi sitaki mwembamba napatikana arusha sakina asiwe mfupi.

Mimi ni mweupe kiasi nina hips kiasi na pia ni mrefu kiasi ninafanya baishara nauza viatu na nguo za ndani.
Mademu wa Arusha hampo romantic kabisa
 
Hello,

Mimi ni binti wa miaka 24 natafuta mume awe mtu wa makamo umri 40 mpaka 50 awe mnene kiasi sitaki mwembamba napatikana arusha sakina asiwe mfupi.

Mimi ni mweupe kiasi nina hips kiasi na pia ni mrefu kiasi ninafanya baishara nauza viatu na nguo za ndani.
We mdada ni mchaga wa machame unataka kumuua mzee wa watu ubebe Mali
 
Hello,

Mimi ni binti wa miaka 24 natafuta mume awe mtu wa makamo umri 40 mpaka 50 awe mnene kiasi sitaki mwembamba napatikana arusha sakina asiwe mfupi.

Mimi ni mweupe kiasi nina hips kiasi na pia ni mrefu kiasi ninafanya baishara nauza viatu na nguo za ndani.
Labda kama unataka kuwa Mke mwenza sawa.

Pili mume hatafutwi Kwa Kujitangaza vinginevyo utaonekana una kasoro.

Mbinu ya kumpata mume ni rahisi sana ,weka mazingira ya yeye kushawishika kama utii,Ushauri ikibidi,kuvaa vizuri,Kauli njema hasa kwenye mazingira ya maudhi,kuomba radhi na mambo kama hayo.

Hapo hata kama mwanaume hajuwa na nia ya kuoa ataanza kushawishika Sasa ulifanya hivyo Kwa wanaume kadhaa wanaokutaka bila shaka utawajia vizuri na utachagua mume Bora.
 
Mambo mrembo
Niko hapa ila sio mzee wa hiyo miaka
Sijui 40
Njo basi
 
Hello,

Mimi ni binti wa miaka 24 natafuta mume awe mtu wa makamo umri 40 mpaka 50 awe mnene kiasi sitaki mwembamba napatikana arusha sakina asiwe mfupi.

Mimi ni mweupe kiasi nina hips kiasi na pia ni mrefu kiasi ninafanya baishara nauza viatu na nguo za ndani.
Khe
 
Ngoja nianze kutembelea mitaa ya Kwa Iddy labda nkakutana na mleta uzi, who knows! 😂😂
 
Hello,

Mimi ni binti wa miaka 24 natafuta mume awe mtu wa makamo umri 40 mpaka 50 awe mnene kiasi sitaki mwembamba napatikana arusha sakina asiwe mfupi.

Mimi ni mweupe kiasi nina hips kiasi na pia ni mrefu kiasi ninafanya baishara nauza viatu na nguo za ndani.
Niko Sing'isi hapa kwa Fundi, niPM
 
Hello,

Mimi ni binti wa miaka 24 natafuta mume awe mtu wa makamo umri 40 mpaka 50 awe mnene kiasi sitaki mwembamba napatikana arusha sakina asiwe mfupi.

Mimi ni mweupe kiasi nina hips kiasi na pia ni mrefu kiasi ninafanya baishara nauza viatu na nguo za ndani.
Pm mbona umefunga na vibonge ndo tunaona tangazo?
 
Hello,

Mimi ni binti wa miaka 24 natafuta mume awe mtu wa makamo umri 40 mpaka 50 awe mnene kiasi sitaki mwembamba napatikana arusha sakina asiwe mfupi.

Mimi ni mweupe kiasi nina hips kiasi na pia ni mrefu kiasi ninafanya baishara nauza viatu na nguo za ndani.
Nguo za ndani? Kwanini huuzi za kutoka china au marekani? Maana hizo ni nzuri zaidi kuliko zile za tuku na urafiki
 
Back
Top Bottom