The Knowledge Seeker
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 3,418
- 5,028
Ikawe kheri kwako, ila bado mdogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera kushtuka mapema kujiwekeza.Kati ya vitu huwa sitaki kuvifikiria huwa ni pension aisee mm hata wasiponipa s awa tu , siku najaza contract 2008 hr akaniambia unaenda kuanza kazi na bado kijana mdogo kaanze kujipanga kustaf leo hii. Nliyashika maneno yake kama torati and napita kwenye ule mstari kama tren vile
Mademu wa Arusha hampo romantic kabisaHello,
Mimi ni binti wa miaka 24 natafuta mume awe mtu wa makamo umri 40 mpaka 50 awe mnene kiasi sitaki mwembamba napatikana arusha sakina asiwe mfupi.
Mimi ni mweupe kiasi nina hips kiasi na pia ni mrefu kiasi ninafanya baishara nauza viatu na nguo za ndani.
We mdada ni mchaga wa machame unataka kumuua mzee wa watu ubebe MaliHello,
Mimi ni binti wa miaka 24 natafuta mume awe mtu wa makamo umri 40 mpaka 50 awe mnene kiasi sitaki mwembamba napatikana arusha sakina asiwe mfupi.
Mimi ni mweupe kiasi nina hips kiasi na pia ni mrefu kiasi ninafanya baishara nauza viatu na nguo za ndani.
Labda kama unataka kuwa Mke mwenza sawa.Hello,
Mimi ni binti wa miaka 24 natafuta mume awe mtu wa makamo umri 40 mpaka 50 awe mnene kiasi sitaki mwembamba napatikana arusha sakina asiwe mfupi.
Mimi ni mweupe kiasi nina hips kiasi na pia ni mrefu kiasi ninafanya baishara nauza viatu na nguo za ndani.
sakina ndio wale ukiwasalimia wanajibu wozuuuWhy?
KheHello,
Mimi ni binti wa miaka 24 natafuta mume awe mtu wa makamo umri 40 mpaka 50 awe mnene kiasi sitaki mwembamba napatikana arusha sakina asiwe mfupi.
Mimi ni mweupe kiasi nina hips kiasi na pia ni mrefu kiasi ninafanya baishara nauza viatu na nguo za ndani.
litutumbwe amekumbukwaHatimaye Wanaume wanene
Wana kitu gani Hawa wa Sakina?Hauna bahati, mimi wanawake wa Arusha No Way tena mbaya zaidi Sakina!
Ni warembo ila la! Hapana.
Afadhali tumekumbukwaHatimaye Wanaume wanene
Niko Sing'isi hapa kwa Fundi, niPMHello,
Mimi ni binti wa miaka 24 natafuta mume awe mtu wa makamo umri 40 mpaka 50 awe mnene kiasi sitaki mwembamba napatikana arusha sakina asiwe mfupi.
Mimi ni mweupe kiasi nina hips kiasi na pia ni mrefu kiasi ninafanya baishara nauza viatu na nguo za ndani.
Pm mbona umefunga na vibonge ndo tunaona tangazo?Hello,
Mimi ni binti wa miaka 24 natafuta mume awe mtu wa makamo umri 40 mpaka 50 awe mnene kiasi sitaki mwembamba napatikana arusha sakina asiwe mfupi.
Mimi ni mweupe kiasi nina hips kiasi na pia ni mrefu kiasi ninafanya baishara nauza viatu na nguo za ndani.
Nguo za ndani? Kwanini huuzi za kutoka china au marekani? Maana hizo ni nzuri zaidi kuliko zile za tuku na urafikiHello,
Mimi ni binti wa miaka 24 natafuta mume awe mtu wa makamo umri 40 mpaka 50 awe mnene kiasi sitaki mwembamba napatikana arusha sakina asiwe mfupi.
Mimi ni mweupe kiasi nina hips kiasi na pia ni mrefu kiasi ninafanya baishara nauza viatu na nguo za ndani.