πππππππDada nishasema sikuhitaji. Sikutaki. Mbona kama unalazimisha? πππππ
Kama ulitaka kuwa ngamia si ungesema!? Hilo komwe la nini?
Enendeni mkatengeneze makomwe.πππππππ
Haya bana umeshinda wewe
Ngoja nkatafute mwenye komwe mwenzangu
Shule zote uliosoma nao toka chekechea hadi chuo hujapata? Kanisani unakosali hujapata? Kazini kwako hujapata?Habarini wana JF,
Mimi natafuta mume wa kuishi naye;
~ Mimi nina miaka 30
~ Mnyamwezi
~ Nina elimu ya shahada katika sayansi ya jamii
Natafuta mme mwenye vigezo vifuauatavyo;
1. Awe na miaka 38 na kuendelea
2. Awe na shughuli maalumu ya kumpatia kipato halali
3. Awe kabila lolote
4. Awe na elimu angalau kidato cha nne au ajue kusoma na kuandika.
5. Dini - muislamu
Kama atataka taarifa zaidi aje PM.
Unatafuta mume wakati sasa hivi ndoto za wanaume karibu ya wote ni kununua mdoli wa Elon Musk, nani anataka stress? Mdoli hana maradhi ya maambukizi, haombi hela kila kukicha, si mbea na anapokea dushe bila kupiga mayowe, hanuki makwapa na sehemu za siri, hajichubui, na harogi.Habarini wana JF,
Mimi natafuta mume wa kuishi naye;
~ Mimi nina miaka 30
~ Mnyamwezi
~ Nina elimu ya shahada katika sayansi ya jamii
Natafuta mme mwenye vigezo vifuauatavyo;
1. Awe na miaka 38 na kuendelea
2. Awe na shughuli maalumu ya kumpatia kipato halali
3. Awe kabila lolote
4. Awe na elimu angalau kidato cha nne au ajue kusoma na kuandika.
5. Dini - muislamu
Kama atataka taarifa zaidi aje PM.
37 na miezi 5We una umri gani???
Weee sema kweliNdio ni bikira
Zingatia sister, kuna waliolewa na wenye digree,Hahahhahaha akhsante kwa ushauri kweli kabisa hata ninae ringana anae aje bhan.
Vipi kuhusu uzito mwisho kilo ngapi?Habarini wana JF,
Mimi natafuta mume wa kuishi naye;
~ Mimi nina miaka 30
~ Mnyamwezi
~ Nina elimu ya shahada katika sayansi ya jamii
Natafuta mme mwenye vigezo vifuauatavyo;
1. Awe na miaka 38 na kuendelea
2. Awe na shughuli maalumu ya kumpatia kipato halali
3. Awe kabila lolote
4. Awe na elimu angalau kidato cha nne au ajue kusoma na kuandika.
5. Dini - muislamu
Kama atataka taarifa zaidi aje PM.
dini ya nini dunia ya leo? We una asili ya ubaguzi, kwanini usiwatafute msikitini? Majaliwa muislamu mke wake Mary, hamjifunzi tu kutoka kwa wakubwa?
Hahaha kweli kaka nimekusomaZingatia sister, kuna waliolewa na wenye digree,
Na sasa wanahangaika na maisha wenywewe bila msaada wa mume!
Hahahaha wewe una miaka mingapi kwani kama unalingana na mimi pia poaNina sifa zote ila kipengele Cha miaka umeweka mingi sana dah!
Wewe mbona unavituko jamani hadi kilo duuh!!!Vipi kuhusu uzito mwisho kilo ngapi?
Sina Kwan vipi?? Mi sifuhi kuku vifranga vipo kwa wanaofuga kuku.Una kifaranga?
Ndio ukweli wangu huo!!Weee sema kweli
Mtoto?Sina Kwan vipi?? Mi sifuhi kuku vifranga vipo kwa wanaofuga kuku.
Tatizo gani sasa wala sina tatizo labda nimepangiw jamii forum ndio nitapata mwenzangu huwezi jua ya Mungu mengi.Shule zote uliosoma nao toka chekechea hadi chuo hujapata? Kanisani unakosali hujapata? Kazini kwako hujapata?
Majirani hujapata? Kwenye ukoo wenu hujapata? Semina nk hujapata
Kijijini hujapata nk
Una tatizo sio bure
Sababu wengi huoa au kuolewa kwenye circles zao