Natafuta mume njoo tuyajenge

Natafuta mume njoo tuyajenge

Sauti ya kubembeleza yani mie kwa mwanaume cha kwanza na fall in love kwa sauti yke na ajue kubembeleza mubashara kila la heri mama
 
Miaka 28 awe kacheza kachokaa....dada una masihara 28 achoke au ndo anapiga jalamba....Asiwe na tamaa daah tatizo moja tu kile kichwa cha chini kinapingana na kauli hiyo. Anyway kila la kher mkuu.....Ngoja maji ya kunde waje.
 
Ni binti mwenye umri wa miaka 25 natafuta mwanaume mwenye mapenzi ya dhati.

Sifa zangu;
Sina mtoto
Sijawai olewa
Nimewai kuwa na mahusiano
Elimu kidato cha nne
Sio mnene wala sio mwembamba
Rangi ya kati
Mjasiriamali

Sifa za ninae mtaka;
Awe ameumizwa
Maji ya kunde
Umri 28 kuendeea
Awe kacheza kachoka hana tamaa
Awe anajituma na apende ujasiriamali
Awe anajua kubembelezaa sio unakua na mtu utafikili mpo CCP Moshi au JKT

NB: Naomba awe na mapenzi ya kweli mchapa kazi na awe na sauti ya kubembeleza.

Unataka sauti ya kubembeleza, nunua kasuku tu
 
Ni binti mwenye umri wa miaka 25 natafuta mwanaume mwenye mapenzi ya dhati.

Sifa zangu;
Sina mtoto
Sijawai olewa
Nimewai kuwa na mahusiano
Elimu kidato cha nne
Sio mnene wala sio mwembamba
Rangi ya kati
Mjasiriamali

Sifa za ninae mtaka;
Awe ameumizwa
Maji ya kunde
Umri 28 kuendeea
Awe kacheza kachoka hana tamaa
Awe anajituma na apende ujasiriamali
Awe anajua kubembelezaa sio unakua na mtu utafikili mpo CCP Moshi au JKT

NB: Naomba awe na mapenzi ya kweli mchapa kazi na awe na sauti ya kubembeleza.

Dada ushapata???Kama bado naomba kukaribia PM
 
Binafsi nimeumizwa sana matokeo mabuvu ya simba sport club nahisi nitakufaa sana
 
Ni binti mwenye umri wa miaka 25 natafuta mwanaume mwenye mapenzi ya dhati.

Sifa zangu;
Sina mtoto
Sijawai olewa
Nimewai kuwa na mahusiano
Elimu kidato cha nne
Sio mnene wala sio mwembamba
Rangi ya kati
Mjasiriamali

Sifa za ninae mtaka;
Awe ameumizwa
Maji ya kunde
Umri 28 kuendeea
Awe kacheza kachoka hana tamaa
Awe anajituma na apende ujasiriamali
Awe anajua kubembelezaa sio unakua na mtu utafikili mpo CCP Moshi au JKT

NB: Naomba awe na mapenzi ya kweli mchapa kazi na awe na sauti ya kubembeleza.
Eti awe kacheza kachoka hana tamaa!!
Naona unakinzana na biological nature.
Hata maandiko yanasema tamaa ya mwanaume ni kwa mwanamke!
 
Back
Top Bottom