Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
Tafuta pesa bro, hata wewe huwezi kumuozesha binti yako kwa pangu pakavu,Shida ya wanawake wa sasa wanatafuta mfanyakazi au mfanyabiashara kwenye ndoa. Badala ya kutafuta mume ndiyo maana hamuolewi.
Hata akikuoa siku akifukuzwa kazi au biashara zikiyumba utamkimbia. Mnatanguliza masilahi mbele kuliko utu.
Kumbuka ndoa ni maisha halisi. Kuna kufukuzwa kazi, biashara kuyumba au kuugua. Utaweza kuvumilia hayo ikiwa uliingia kwenye ndoa kwasababu mumeo ni muajiriwa, amejiajiri au mfanyabiashara?
Ni umbo la bonge nyanyaKwa hiyo sisi jobless hautuhitaji.
Halafu umbo la mwanamke wa kiTz ndio likoje?
kwanza pata hao watatu wa mwanzo, kwa maana ya mme, mpenzi na rafiki hawa waliobaki utatafuta kidogo kidogoMimi ni mke
Nipo Arusha
Mfanya biashara
Umri 26
Mweupe, urefu wastani, umbo la mwanamke wa ki-Tanzania
Namuamini Mungu
Natafuta mwanaume wa vigezo
Mwanaume atakaekuwa rafki, mpnz na mume kwang
Anaependa watoto na familia kiujumla
Atakaefahamu thamani yang kwake
Mwenye kaz haswa muajiriwa serikalin au mwenye kazi ya uhalali
Awe mweusi asiwe mfupi sana
Awe muwazi mkweli na mchangamfu
Zikiwa hivyo humaanisha aliyeolewa au kuoaGender ya mwanamke kwa kifupi huitwa mtu mke, kifupi zaidi ke...na mwanaume huitwa mtu mume, kifupi zaidi me
Mimi ni mke
Nipo Arusha
Mfanya biashara
Umri 26
Mweupe, urefu wastani, umbo la mwanamke wa ki-Tanzania
Namuamini Mungu
Natafuta mwanaume wa vigezo
Mwanaume atakaekuwa rafki, mpnz na mume kwang
Anaependa watoto na familia kiujumla
Atakaefahamu thamani yang kwake
Mwenye kaz haswa muajiriwa serikalin au mwenye kazi ya uhalali
Awe mweusi asiwe mfupi sana
Awe muwazi mkweli na mchangamfu
Mm nina sifa zote..ila kaz yangu..ni mpambanaji
Zikiwa hivyo humaanisha aliyeolewa au kuoa
Niliweka tangazo hapa natafuta single mother tuyajenge maisha naona ulikuwa offline.Mimi ni mke
Nipo Arusha
Mfanya biashara
Umri 26
Mweupe, urefu wastani, umbo la mwanamke wa ki-Tanzania
Namuamini Mungu
Natafuta mwanaume wa vigezo
Mwanaume atakaekuwa rafki, mpnz na mume kwang
Anaependa watoto na familia kiujumla
Atakaefahamu thamani yang kwake
Mwenye kaz haswa muajiriwa serikalin au mwenye kazi ya uhalali
Awe mweusi asiwe mfupi sana
Awe muwazi mkweli na mchangamfu
Asiefanya kazi na asile. Sasa mwanaume unakuwaje huna kazi halali?Shida ya wanawake wa sasa wanatafuta mfanyakazi au mfanyabiashara kwenye ndoa. Badala ya kutafuta mume ndiyo maana hamuolewi.
Hata akikuoa siku akifukuzwa kazi au biashara zikiyumba utamkimbia. Mnatanguliza masilahi mbele kuliko utu.
Kumbuka ndoa ni maisha halisi. Kuna kufukuzwa kazi, biashara kuyumba au kuugua. Utaweza kuvumilia hayo ikiwa uliingia kwenye ndoa kwasababu mumeo ni muajiriwa, amejiajiri au mfanyabiashara?
Na sio tu nia bali ni ukosefu wa adabu na malezi mabovu.Kila la kheri mwaya japo kuwa makini ukishaona mtu ana maswali meengi yasiyo na kichwa wala miguu hapa, ambayo angeweza kukuliza huko pembeni na ukampa majibu ujue hana nia.
Kweli kabisa Dada. Huwa wanaudhi sana yaani.Na sio tu nia bali ni ukosefu wa adabu na malezi mabovu.
Nchi ina vijana wa hovyo sana hii.
Kwa kuanzia..mume ni lazima awe na kazi. Mambo ya kukosa kazi na uvumilivu tutajua mbeleni.Shida ya wanawake wa sasa wanatafuta mfanyakazi au mfanyabiashara kwenye ndoa. Badala ya kutafuta mume ndiyo maana hamuolewi.
Hata akikuoa siku akifukuzwa kazi au biashara zikiyumba utamkimbia. Mnatanguliza masilahi mbele kuliko utu.
Kumbuka ndoa ni maisha halisi. Kuna kufukuzwa kazi, biashara kuyumba au kuugua. Utaweza kuvumilia hayo ikiwa uliingia kwenye ndoa kwasababu mumeo ni muajiriwa, amejiajiri au mfanyabiashara?
Njoo PM tuyajengeMimi ni mke
Nipo Arusha
Mfanya biashara
Umri 26
Mweupe, urefu wastani, umbo la mwanamke wa ki-Tanzania
Namuamini Mungu
Natafuta mwanaume wa vigezo
Mwanaume atakaekuwa rafki, mpnz na mume kwang
Anaependa watoto na familia kiujumla
Atakaefahamu thamani yang kwake
Mwenye kaz haswa muajiriwa serikalin au mwenye kazi ya uhalali
Awe mweusi asiwe mfupi sana
Awe muwazi mkweli na mchangamfu
Umeongea ukweli....Shida ya wanawake wa sasa wanatafuta mfanyakazi au mfanyabiashara kwenye ndoa. Badala ya kutafuta mume ndiyo maana hamuolewi.
Hata akikuoa siku akifukuzwa kazi au biashara zikiyumba utamkimbia. Mnatanguliza masilahi mbele kuliko utu.
Kumbuka ndoa ni maisha halisi. Kuna kufukuzwa kazi, biashara kuyumba au kuugua. Utaweza kuvumilia hayo ikiwa uliingia kwenye ndoa kwasababu mumeo ni muajiriwa, amejiajiri au mfanyabiashara?
Unadhani wapo serious kuwa wanataka mke wa kuoa?Raia wanajifanya kujicommentisha hapa,lkn huko PM wamepanga foleni [emoji41]