Natafuta mume (rafiki na msiri wangu)

Natafuta mume (rafiki na msiri wangu)

Sasa kila mtu anamwambia dada wa watu aende pm, ataenda pm ngapi?
Inabidi sasa hv haya matangazo yawe simpo. Kwa mfano huyu dada aweke kichwa cha habari kua anatafuta mume baas! Af kila mtu ajimwage sifa zake achague mwenyewe.
Ni mtazamo tu. Usijenge chuki
 
Weka picha pm...Nina shida na watu WA Arusha ........maaana umesema mweupe....Ila uwe tayari Ku check
 
Mim ni mke
Nipo Arusha
Mfanya biashara
Umri 26
Mweupe ,urefu wastan , umbo la mwanamke waki Tanzania
Namuamini Mungu


Natafuta mwanaume wa vigezo
Mwanaume atakaekuwa rafki ,mpnz na mume kwang
Anaependa watoto na familia kiujumla
Atakaefahamu thaman yang kwake
Mwenye kaz haswa muajiriwa serikalin au mwenye kaz ya uhalali
Awe mweusi asiwe mfupi sana
Awe muwazi mkweli na mchangamfu
Agreed
 
Mimi nilikuwa mwajiriwa serikalini nikaacha kazi na mshahara wangu ulikuwa take home 1.2 na sikuwa na mkopo na sasa niliweka NMB bonus account million 350 unajua nakula shilling ngapi kwa mwaka kwa vipindi vitatu? Njoo tuyajenge Niko Moshono
 
Mim ni mke
Nipo Arusha
Mfanya biashara
Umri 26
Mweupe ,urefu wastan , umbo la mwanamke waki Tanzania
Namuamini Mungu


Natafuta mwanaume wa vigezo
Mwanaume atakaekuwa rafki ,mpnz na mume kwang
Anaependa watoto na familia kiujumla
Atakaefahamu thaman yang kwake
Mwenye kaz haswa muajiriwa serikalin au mwenye kaz ya uhalali
Awe mweusi asiwe mfupi sana
Awe muwazi mkweli na mchangamfu
Bahati mbaya cc wachamungu hutuhitaji ila unahitaji wenye kumuamini mungu tu daaa
 
Kwa hiyo sisi jobless hautuhitaji.

Halafu umbo la mwanamke wa kiTz ndio likoje?
 
Mim ni mke
Nipo Arusha
Mfanya biashara
Umri 26
Mweupe ,urefu wastan , umbo la mwanamke waki Tanzania
Namuamini Mungu


Natafuta mwanaume wa vigezo
Mwanaume atakaekuwa rafki ,mpnz na mume kwang
Anaependa watoto na familia kiujumla
Atakaefahamu thaman yang kwake
Mwenye kaz haswa muajiriwa serikalin au mwenye kaz ya uhalali
Awe mweusi asiwe mfupi sana
Awe muwazi mkweli na mchangamfu
Mungu akupe hitaji la moyo wako.
 
Back
Top Bottom