yusuph john
Member
- Jan 22, 2017
- 5
- 3
Sidhani kama ni mahala sahihi sana pa kutafutia MTU humu ...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angalau ulifanya la maana kuzaa, kuolewa ni majaliwa.
Ha ha ha wewe Gahagi unataka kumkosesha mama wa watu mumeHauna madeni kweli HESLB maana hii Hali inatisha!
Tatizo la utoto ndilo hilo kushupalia jambo moja. Mwenyewe kakueleza kuwa hapendi umarioo na kubemenda wewe umekazana na kutafuta free p. Kwanini uhangaike na waliokuzidi umri wakati ulowazidi wanahangaika? Unadhani kuoa ni papuchi tu? Hivi unajua kwanini waliooa ndio wachepukaji wakubwa? Unajua kunajua kuna kuambiwa njoo nikupe k nijilalie etc. Ukiwa dogo kubali kuitwa dogo kama ulivyoniita mshamba nikakubali
Naona wewe una povu, niachane na wewe, afterall unatafutia mwenzako mwanamke!!!!!!! Yeye hana vidole vya kuandika mpaka umtafutie? Huoni kuwa huyo jamaa yako ana uwalakini? Nikuachie wosia moja tu kuwa 'ukikua utayajua niyasemayo'. Sitakujibu tena mkuuacga uongo hajasema hampendi jamaa kwa kuwa ni marioo, mi siyo mtoto kama unavofikiria
halafu ni bora niwe mtoto ila sina akili za kitoto kama zako
alikuwa ana tafuta mume nikawa namwambia kwa nn asi consider huyo alompita miaka 2, sasa umeng'ang'ania asi mconsider utadhani unataka kumwoa wewe.
hahaha, unaongea vitu irrelevant yaan pumba pumbaaa! sasa mtu kuzidiwa miaka na maisha ya kupeana K inahusu nn!? unajifanya mtaalam wa ndoa kwa kuwa una nipimia, bas ata kama wewe ni mkubwa ukue bas! maisha yana change na wewe uchange.
bosi unashangaa mbona watu wengi tu wanatafutiwa wake!? unaish dunia ipi!? mimi nilikuwa na question huyo sista kutumia kigezo cha kumpita miaka miwili na kasema hamtaki nikamwambia kila kheri, wewe umetokea huko umeanza kasha mara oo umariooo sjui na fujo nyingiii!Naona wewe una povu, niachane na wewe, afterall unatafutia mwenzako mwanamke!!!!!!! Yeye hana vidole vya kuandika mpaka umtafutie? Huoni kuwa huyo jamaa yako ana uwalakini? Nikuachie wosia moja tu kuwa 'ukikua utayajua niyasemayo'. Sitakujibu tena mkuu
Kwan huyo EGW ni mchungaji ?Yeye kaandika kwa ufupi wala hajatoa kejeli kwa dini ya mtu, kasema isipokua msabato na hajasema kwanini hataki msabato, sasa wewe umekuja kuandika mara wanaabudu masanamu wanaabudu wafu we unaona umetumia busara?
Una uhakika huo usabato wako ndio hauna dosari?
Mimi sio mkiristo ila sijapenda lugha yako aisee.
Kama wasabato wamekamilika kiasi hicho basi tuambie kwanini wasabato hawana mchungaji mwanamke wala hawataki mchungaji mwanamke ilihali muanzilishi wa dini ya kisabato ni mwanamke Ellen G. White na vitabu vyake mnasoma sana, tuambie ni kwanini iko hivi??
Hakuna dini iliyokamilika cha msingi jitahidi kukamilisha nafsi yako maana ndio itakayoingia peponi au motoni.
Imeniuma nn? Kuna nilichoongopa hapo?Mkuu inaonekana imekuuma haswa
Mkuu imani ya mtu si jambo la kuchezea,kwani kosa lake nini? Amesema asiwe msabato , wewe unawashwa na nini mpaka kumshambulia hivyo? Awe anaabudu sanam au haabudu hilo wewe halikuhusu kbsa pamoja na yote hayo bado hataki msabato...tukianza kuuchambua usabato hata wewe hutakuwa huna sifa za kuwa msabato maana unaivunja kila Leo.Imeniuma nn? Kuna nilichoongopa hapo?
Toka lini mwanaume na mwanamke mmoja akawa na utamadun wa either paganism mwingine tofauti wakaishi vzr?
Biblia inasema MSIFUNGIWE NIRA NAWASIOAMINI
Ipo clear kabisa huyo dada ni wale waabudu masanamu, wanaoamini kunywa pombe sio dhambi, wanaoamini ibada za wafu .
Sasa ataishije na Msabato? Si atavunja vunja hayo masanamu
MarioooKuajiriwa ni kutafuta pia.
Sio anakuja marioo