Natafuta mume tuoane

Natafuta mume tuoane

mleta mada umri wa mwano tafadhali au kaolewa /kaoa unaona aibu kutaja.weka wazi.
 
Tatizo la utoto ndilo hilo kushupalia jambo moja. Mwenyewe kakueleza kuwa hapendi umarioo na kubemenda wewe umekazana na kutafuta free p. Kwanini uhangaike na waliokuzidi umri wakati ulowazidi wanahangaika? Unadhani kuoa ni papuchi tu? Hivi unajua kwanini waliooa ndio wachepukaji wakubwa? Unajua kunajua kuna kuambiwa njoo nikupe k nijilalie etc. Ukiwa dogo kubali kuitwa dogo kama ulivyoniita mshamba nikakubali

acga uongo hajasema hampendi jamaa kwa kuwa ni marioo, mi siyo mtoto kama unavofikiria
halafu ni bora niwe mtoto ila sina akili za kitoto kama zako
alikuwa ana tafuta mume nikawa namwambia kwa nn asi consider huyo alompita miaka 2, sasa umeng'ang'ania asi mconsider utadhani unataka kumwoa wewe.

hahaha, unaongea vitu irrelevant yaan pumba pumbaaa! sasa mtu kuzidiwa miaka na maisha ya kupeana K inahusu nn!? unajifanya mtaalam wa ndoa kwa kuwa una nipimia, bas ata kama wewe ni mkubwa ukue bas! maisha yana change na wewe uchange.
 
Wasabatho tunatengwa jamani sijui tutakuja kumbukwa lini kwenye jukwaa hili
 
acga uongo hajasema hampendi jamaa kwa kuwa ni marioo, mi siyo mtoto kama unavofikiria
halafu ni bora niwe mtoto ila sina akili za kitoto kama zako
alikuwa ana tafuta mume nikawa namwambia kwa nn asi consider huyo alompita miaka 2, sasa umeng'ang'ania asi mconsider utadhani unataka kumwoa wewe.

hahaha, unaongea vitu irrelevant yaan pumba pumbaaa! sasa mtu kuzidiwa miaka na maisha ya kupeana K inahusu nn!? unajifanya mtaalam wa ndoa kwa kuwa una nipimia, bas ata kama wewe ni mkubwa ukue bas! maisha yana change na wewe uchange.
Naona wewe una povu, niachane na wewe, afterall unatafutia mwenzako mwanamke!!!!!!! Yeye hana vidole vya kuandika mpaka umtafutie? Huoni kuwa huyo jamaa yako ana uwalakini? Nikuachie wosia moja tu kuwa 'ukikua utayajua niyasemayo'. Sitakujibu tena mkuu
 
Dada kwenye umri umekosea..hata ukipata kijana kama mimi kubali tu, hyo 37+ hupati mtu

Cc rais wa ufaransa
 
Naona wewe una povu, niachane na wewe, afterall unatafutia mwenzako mwanamke!!!!!!! Yeye hana vidole vya kuandika mpaka umtafutie? Huoni kuwa huyo jamaa yako ana uwalakini? Nikuachie wosia moja tu kuwa 'ukikua utayajua niyasemayo'. Sitakujibu tena mkuu
bosi unashangaa mbona watu wengi tu wanatafutiwa wake!? unaish dunia ipi!? mimi nilikuwa na question huyo sista kutumia kigezo cha kumpita miaka miwili na kasema hamtaki nikamwambia kila kheri, wewe umetokea huko umeanza kasha mara oo umariooo sjui na fujo nyingiii!
unajifanya mkubwa huku umejificha nyima ya unknown Id!!
nitafute nikuoneshe kadi yangu ya kliniki ndio tuta heshimiana.
 
  • Thanks
Reactions: Pep
Yeye kaandika kwa ufupi wala hajatoa kejeli kwa dini ya mtu, kasema isipokua msabato na hajasema kwanini hataki msabato, sasa wewe umekuja kuandika mara wanaabudu masanamu wanaabudu wafu we unaona umetumia busara?

Una uhakika huo usabato wako ndio hauna dosari?

Mimi sio mkiristo ila sijapenda lugha yako aisee.

Kama wasabato wamekamilika kiasi hicho basi tuambie kwanini wasabato hawana mchungaji mwanamke wala hawataki mchungaji mwanamke ilihali muanzilishi wa dini ya kisabato ni mwanamke Ellen G. White na vitabu vyake mnasoma sana, tuambie ni kwanini iko hivi??

Hakuna dini iliyokamilika cha msingi jitahidi kukamilisha nafsi yako maana ndio itakayoingia peponi au motoni.
Kwan huyo EGW ni mchungaji ?

Aisee usikurupuke, Kwa wasabato EGW ni nabii, na ktk biblia kuna manabii wa kike wengi tu, ila hakuna wachungaji au maaskofu wanawake .


Huyo mtoa uz kuna comment katoa sababu za kuwakataa wasabato.

Huyo ni muabudu sanamu, mnywa pombe hilo lipo waz kwa waroma, haina kupepesa macho .
 
Mkuu inaonekana imekuuma haswa
Imeniuma nn? Kuna nilichoongopa hapo?

Toka lini mwanaume na mwanamke mmoja akawa na utamadun wa either paganism mwingine tofauti wakaishi vzr?

Biblia inasema MSIFUNGIWE NIRA NAWASIOAMINI

Ipo clear kabisa huyo dada ni wale waabudu masanamu, wanaoamini kunywa pombe sio dhambi, wanaoamini ibada za wafu .

Sasa ataishije na Msabato? Si atavunja vunja hayo masanamu
 
Imeniuma nn? Kuna nilichoongopa hapo?

Toka lini mwanaume na mwanamke mmoja akawa na utamadun wa either paganism mwingine tofauti wakaishi vzr?

Biblia inasema MSIFUNGIWE NIRA NAWASIOAMINI

Ipo clear kabisa huyo dada ni wale waabudu masanamu, wanaoamini kunywa pombe sio dhambi, wanaoamini ibada za wafu .

Sasa ataishije na Msabato? Si atavunja vunja hayo masanamu
Mkuu imani ya mtu si jambo la kuchezea,kwani kosa lake nini? Amesema asiwe msabato , wewe unawashwa na nini mpaka kumshambulia hivyo? Awe anaabudu sanam au haabudu hilo wewe halikuhusu kbsa pamoja na yote hayo bado hataki msabato...tukianza kuuchambua usabato hata wewe hutakuwa huna sifa za kuwa msabato maana unaivunja kila Leo.
 
Back
Top Bottom