Natafuta mume "very serious"

Natafuta mume "very serious"

mama ushapata? maana mi nilisubiri kwanza watu wapungue, nimejitahidi sana kusubiri mpaka leo
 
Nadhani mtu mwenye msimamo ni muhimu sana katika mas'ala ya ndoa. Sasa wewe yaonyesha msimamo wako haueleweki.
 
hivi nyie watu wasiojulikana tumewakosea nini? mbona kila sehem mnatufuata?
 
ukipata mume usisite kutoa kadi ya mualiko kwa members wote kama shukran[emoji13]
 
nimependa jasiri wa kuweka wazi lako tatizo Mungu akubarikie mwema
 
Ushaa mpata hadi Leo au bado? Kama bado njoo huku na kama tayar weka mrejesho hapa
 
Misifa kibao isiyo na tija. Aliyekwambia wanaume wanaoa ajira au hayo makolokolo mengine uliyotaja ni nani?
Hayo mengi uliyoyapitia,hao hawakuwa wanaume? Leo hii new member,first thread natafuta mwanaume. Umekunywa bia za watu na kula vitimoto vya kununuliwa,ukashindwa kujitambua,leo hii unatafuta pa kujificha,na vigezo juu. Nenda baa,ndo wapo staili yako
 
Kama kweli unashida ya mume mi nipo tayari ila utakuwa mke mdogo kama umekubali sema
 
Misifa kibao isiyo na tija. Aliyekwambia wanaume wanaoa ajira au hayo makolokolo mengine uliyotaja ni nani?
Hayo mengi uliyoyapitia,hao hawakuwa wanaume? Leo hii new member,first thread natafuta mwanaume. Umekunywa bia za watu na kula vitimoto vya kununuliwa,ukashindwa kujitambua,leo hii unatafuta pa kujificha,na vigezo juu. Nenda baa,ndo wapo staili yako
Mdomo wako unauwezo mkubwa kuliko ubongo wako ndo maana unaropoka kama lomo lomo
 
Mdomo wako unauwezo mkubwa kuliko ubongo wako ndo maana unaropoka kama lomo lomo

Wale wale tu. Kungulu wasiofugika. Haina shida,ujumbe si umepokea lakini? We ongezea na mengine ulosahau. Mmezunguuka baa zote, makanisa yote, kila kona ka mna pepo la ngono. Mwishowe mizoga mnatafuta wa kuwakabidhi JF. Huku nako geti tayari limefungwa.Jaribuni kwingine
 
Hallow JF members,, Mimi ni msichana wa Kitanzania kwa mara ya kwanza najitokeza ktk jukwaa hili kutafuta mwanaume ambaye Mungu akijaalia Inshaallah awe mume wangu.
Sifa zangu..
Umri 28
kidini ni Muislam
Elimu bachelor degree
Kabila langu ni mzigua
Mimi sio tegemezi ni mtafutaji pia nimeajiriwa.
Situmii kilevi chochote.

Sifa za nimtakaye.
Umri 3o+
Elimu at least kuanzia form six
Awe muislam bt akiwa mkristo si mbaya coz dini tumezikuta.
Kabila lolote la ndani ya Tanzania.
Awe na upendo wa dhat.
Awe amejiajiri au ameajiriwa inshort awe na shughuli inayoeleweka ya kumuingizia kipato coz mimi pia najishughulisha.
Akiwa na mwili kidogo itapendeza napenda mwanaume mnene.
Asivute sigara wala Bangi.
Kama anakunywa basi iwe ya kistaarab.
Asiwe mume wa mtu coz sihitaji ndoa ya mitala.
Kwa mwanaume ambaye yupo serious kwa ajili ya kupata mwenza plz tuwasiliane pm.
NB
Nimepitia mengi ktk mahusiano so mpaka kufikia kuja kupost huku basi jua namaanisha kweli kutafuta mume, sidhani kama itakuwa ni busara kunipm kama haupo serious.
Hongera.
Ninaamini utaolewa na mtu sahihi wako MUNGU akusimamie wasijiingize wahuni kukuharibia. Nimeipenda.
 
Hallow JF members,, Mimi ni msichana wa Kitanzania kwa mara ya kwanza najitokeza ktk jukwaa hili kutafuta mwanaume ambaye Mungu akijaalia Inshaallah awe mume wangu.
Sifa zangu..
Umri 28
kidini ni Muislam
Elimu bachelor degree
Kabila langu ni mzigua
Mimi sio tegemezi ni mtafutaji pia nimeajiriwa.
Situmii kilevi chochote.

Sifa za nimtakaye.
Umri 3o+
Elimu at least kuanzia form six
Awe muislam bt akiwa mkristo si mbaya coz dini tumezikuta.
Kabila lolote la ndani ya Tanzania.
Awe na upendo wa dhat.
Awe amejiajiri au ameajiriwa inshort awe na shughuli inayoeleweka ya kumuingizia kipato coz mimi pia najishughulisha.
Akiwa na mwili kidogo itapendeza napenda mwanaume mnene.
Asivute sigara wala Bangi.
Kama anakunywa basi iwe ya kistaarab.
Asiwe mume wa mtu coz sihitaji ndoa ya mitala.
Kwa mwanaume ambaye yupo serious kwa ajili ya kupata mwenza plz tuwasiliane pm.
NB
Nimepitia mengi ktk mahusiano so mpaka kufikia kuja kupost huku basi jua namaanisha kweli kutafuta mume, sidhani kama itakuwa ni busara kunipm kama haupo serious.
Umeshata? Kama bado njoo pm
 
Du!wagosi wa kizigula wasila mpaka ulonde jf,so kwangu,inaonekana uliachika au sijaelewa?
 
Back
Top Bottom