Natafuta mume wa kuishi nae, nyumba ipo

 
Ninaposoma thread km hizi, huwa natabasamu tu. Zina ninanifanya nijisikie raha sana. all the best
 
Niko tayari Sina gari sina Nyumba
 
Tunaomba picha yakoπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€... mashart yasije yakawa meeeengiiii kumbe umzuriiii wa kupindukiaπŸ˜‰
 
roho mbaya tu inakusumbua .kama wewe hutaki ni wewe kaa na maisha yako
Tangu uanze izi harakati una watu wangapi na mchujo unafanyika vp? Ingekuwa uko real lisaa limoja tu unafuta na post yenyewe coz wanaojitokeza ni wengi na unadai bado hujapata au unamsubiri malaika ndo umkubali! Kwa maoni yangu hii ni biashara na hii ni marketing nadhani una stock ya wateja wa kutosha xana kwa sasa hongera kwako kwa kuwateka
 
bado sijamjibu mtu yoyote maana sitaki mtu wa kunidanganya na nyie hamueleweki
sasa uta wajuaje bila kuwa jibu au una subiri malaika aje kukujibia wewe kama nia unayo tumia.akili tu na uwelewa njia yako ya kuto wajibu sio sahihi bali uta sababisha wakuone muhuni tu
 
Mwenzangu yale maakili sio ya dunia hii,ndio maana nimedata [emoji85]
Nisingeweza kuresist sis.
Haaa haa Nifah.

Ujue umenikumbusha Lara1 na msemo wake wa "kususia"

Nawe umejisusa kwa Bold[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…