Mwambajiwe
Member
- Nov 28, 2016
- 25
- 28
Umefunguka mdada kama ni kweli mungu akusaidie umpate huyo mume wa kweli.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahahahaaaaaHaaa haa Nifah.
Ujue umenikumbusha Lara1 na msemo wake wa "kususia"
Nawe umejisusa kwa Bold[emoji23] [emoji23] [emoji23]
mbona sijaona jina lako au una jina lingineFanya faster aisee manake roho inapwitapwita. Mimi sio Muongo aisee. Ila kama wewe mfupi utakuwa sio bahati yangu au kama unajichubua na kuvaa mawigi hamu ya kuoa inakata hapo hapo. Naamin wewe ndo mke wangu Mtarajiwa.
Interest , ladyfurahia, Arushaone Madame B , Bujibuji
unamkamata mtu na room mbili ?au cha ajabu nini?Hawa ndio wale wanao tumwa na serikal kukamata waropokaji JF ! Yangu macho tu [emoji848]
Sijaelewa hitaji lako hebu fafanuaila hautaishi bure hapa kwangu .wala usitegemee kunidanganya kama wewe ni muongo nitakujua tu .kama huna mapenzi ya dhati unapenda mteremko bora usinitafute maana hapa sio mahali pake
figganigga Mzee wa Kisuma inn... Leo umetukumbuka ma legendaryFanya faster aisee manake roho inapwitapwita. Mimi sio Muongo aisee. Ila kama wewe mfupi utakuwa sio bahati yangu au kama unajichubua na kuvaa mawigi hamu ya kuoa inakata hapo hapo. Naamin wewe ndo mke wangu Mtarajiwa.
Interest , ladyfurahia, Arushaone Madame B , Bujibuji
Hili dili Lina risk zipi? Maana zali LA mentali Hili.Nahitaji mume wa kuishi nae nyumba ipo nina vyumba viwili tutakaa hadi tujenge hakuna kulipa kodi.
Uje na vitu vya ndani vyote .ukiwa na gari itapendeza zaidi ila kama huna njoo tu tutanunua maisha ni mipango tu.
Kama una watoto wasiwe wengi na uje na dada yao tutamlipa maana mimi nimeajiriwa narudi nyumbani jioni. Ila uwe mtu mzima na akili timamu za mapenzi na maisha .Miaka 35 kwenda juu vijana sitaki kabisa
Naishi mkoa wa Dar es salaam
miaka yangu 35 sina mtoto bado
ieleweke sio lazima uishi kwangu hayo ni maamuzi yako tu .ila kama umepanga bora tukae kwangu maana ni bure hatutalipa ili tujipange
mama mtarajiwa ebu msikie huyu kiumbe maana ana angaika kukupata huwenda sir god ndio kakubali maombi yako kupitia kwa huyu jamaa ebu kaeni myajengeFanya faster aisee manake roho inapwitapwita. Mimi sio Muongo aisee. Ila kama wewe mfupi utakuwa sio bahati yangu au kama unajichubua na kuvaa mawigi hamu ya kuoa inakata hapo hapo. Naamin wewe ndo mke wangu Mtarajiwa.
Interest , ladyfurahia, Arushaone Madame B , Bujibuji
Kweli mkuuKama mtu unawaza vizuri hii ni changamsha jukwaa tu hakuna mtu anayetaka mume hapa!! Ni kujichoresha tu na mtu mzima mwenye heshima zake hawezi kuja kutaka mke aliyejitangaza hapa na mkipatana ni muhuni+muhuni tu na maisha yaendelee ila sio kama mnavyowaza kwenye vichwa vyenu, mke bora humo hamna na atakayepatikana hatakuwa bora
a siku hizi zinapotea\Nahitaji mume wa kuishi nae nyumba ipo nina vyumba viwili tutakaa hadi tujenge hakuna kulipa kodi.
Uje na vitu vya ndani vyote .ukiwa na gari itapendeza zaidi ila kama huna njoo tu tutanunua maisha ni mipango tu.
Kama una watoto wasiwe wengi na uje na dada yao tutamlipa maana mimi nimeajiriwa narudi nyumbani jioni. Ila uwe mtu mzima na akili timamu za mapenzi na maisha .Miaka 35 kwenda juu vijana sitaki kabisa
Naishi mkoa wa Dar es salaam
miaka yangu 35 sina mtoto bado
ieleweke sio lazima uishi kwangu hayo ni maamuzi yako tu .ila kama umepanga bora tukae kwangu maana ni bure hatutalipa ili tujipange
Wanaume wa Dar bana yaani bado tu unataka ufuatwe pm, Kwani ukichangamkia fursa ukaenda wewe huko pm utapungukiwa nini? Sasa huyo mrembo hatokuja maana yupo bize anasoma pm zetu, we endelea tu kusubiri [emoji3]Njoo pm tuyamalize
utapata umri wako wapo wengi
Duuu; hii kali na mpya! Lakini imekaa vizuri.Nahitaji mume wa kuishi nae nyumba ipo nina vyumba viwili tutakaa hadi tujenge hakuna kulipa kodi.
Uje na vitu vya ndani vyote .ukiwa na gari itapendeza zaidi ila kama huna njoo tu tutanunua maisha ni mipango tu.
Kama una watoto wasiwe wengi na uje na dada yao tutamlipa maana mimi nimeajiriwa narudi nyumbani jioni. Ila uwe mtu mzima na akili timamu za mapenzi na maisha .Miaka 35 kwenda juu vijana sitaki kabisa
Naishi mkoa wa Dar es salaam
miaka yangu 35 sina mtoto bado
ieleweke sio lazima uishi kwangu hayo ni maamuzi yako tu .ila kama umepanga bora tukae kwangu maana ni bure hatutalipa ili tujipange
Viserengeti, milango ndo imeshafungwa.Dah! Umri tu ndio kikwazo
Kama ndio hivyo basi hata ushauri sitoi, ngoja niendelee kusubiri.Naomba umshauri anipendelee. Akishindwa usishangae ukakuta makopakopa kwenye pm yako