Natafuta mume wa kuishi nae, nyumba ipo

Hawa ndio wale wanao tumwa na serikal kukamata waropokaji JF ! Yangu macho tu [emoji848]
 
ila hautaishi bure hapa kwangu .wala usitegemee kunidanganya kama wewe ni muongo nitakujua tu .kama huna mapenzi ya dhati unapenda mteremko bora usinitafute maana hapa sio mahali pake
Sijaelewa hitaji lako hebu fafanua
 
Hili dili Lina risk zipi? Maana zali LA mentali Hili.
Niku pm au utani pm? maana mapenzi Mengi ya JF huishia pm na sio Kitandani
 
mama mtarajiwa ebu msikie huyu kiumbe maana ana angaika kukupata huwenda sir god ndio kakubali maombi yako kupitia kwa huyu jamaa ebu kaeni myajenge
 
Kweli mkuu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
ndo
a siku hizi zinapotea\
 
Duuu; hii kali na mpya! Lakini imekaa vizuri.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…