Natafuta mume wa kuishi nae, nyumba ipo

Wanaume sifa yetu sio vya bure wadau... Tufatisheni hata vitabu vinasema tutakula kwa jasho... Naona mteremko kila mtu anataka PM. Tuwe Macho
 
kumbe wapo hivo? asante kwa kunialart .kazi sana
Aisee mimi nmesubiri majibu ya PM yangu hadi nmechoka, kama umenitema nichane live hapa hapa niupply kwingine.

Halafu natumia nafasi hii kutoa Tangazo kwamba nimeokota kitambulisho cha mpiga kura cha @espy . Mwambieni aje PM.
 
Mimi kigezo ninatosha , je unaweza kukamua maziwa ,Mimi ni mfugaji .
 
Here we go ..naomba uni PM uniingize kwenye interview uone kama nakidhi unachotafuta
 
nimempata ex wangu humuhumu nimeona nirudiane nae nimemuomba msamaha maana mimi ndo nilimuacha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…