Nawe ukiweka masharti yapi?Kwa jitihada ulizonazo Mungu atakusaidia kwa kweli.
Natafuta familia kupitia mtandao huu
Bado sijapata mume wa familia
Nimekosa mwanaume 'serious'
Wanaume mlioko kwenye ndoa humu mitandaoni mjiheshimu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nawe ukiweka masharti yapi?Kwa jitihada ulizonazo Mungu atakusaidia kwa kweli.
Natafuta familia kupitia mtandao huu
Bado sijapata mume wa familia
Nimekosa mwanaume 'serious'
Wanaume mlioko kwenye ndoa humu mitandaoni mjiheshimu
Binafsi nilikuwa na imani kama yako kuwa wanaume walioko kwenye 30's ndio wenye akili timamu za maisha na mapenzi lakini baada ya kuwa nao nimegundua hawana lolote kupitia mpenzi wangu wa sasa mwenye umri chini ya miaka 30.
Niko tayari ni pm am 42.Nahitaji mume wa kuishi nae nyumba ipo nina vyumba viwili tutakaa hadi tujenge hakuna kulipa kodi.
Uje na vitu vya ndani vyote .ukiwa na gari itapendeza zaidi ila kama huna njoo tu tutanunua maisha ni mipango tu.
Kama una watoto wasiwe wengi na uje na dada yao tutamlipa maana mimi nimeajiriwa narudi nyumbani jioni. Ila uwe mtu mzima na akili timamu za mapenzi na maisha .Miaka 35 kwenda juu vijana sitaki kabisa
Naishi mkoa wa Dar es salaam
miaka yangu 35 sina mtoto bado
Nahitaji mume wa kuishi nae nyumba ipo nina vyumba viwili tutakaa hadi tujenge hakuna kulipa kodi.
Uje na vitu vya ndani vyote .ukiwa na gari itapendeza zaidi ila kama huna njoo tu tutanunua maisha ni mipango tu.
Kama una watoto wasiwe wengi na uje na dada yao tutamlipa maana mimi nimeajiriwa narudi nyumbani jioni. Ila uwe mtu mzima na akili timamu za mapenzi na maisha .Miaka 35 kwenda juu vijana sitaki kabisa
Naishi mkoa wa Dar es salaam
miaka yangu 35 sina mtoto bado
ipo ya kutoshaVp hapo nyumbani kuna parking ya gari maana nipo tayari ila nitakuja nakigari chetu nikimaanisha chetu mimi na wewe
asante kwa ushauri ila najiona safe nikiwa na mzee mwenzanguMama mtarajiwa una mambo sana.
Ngoja nikupe ushauri kidogo...usidanganyike na umri ktk mapenzi.
Binafsi nilikuwa na imani kama yako kuwa wanaume walioko kwenye 30's ndio wenye akili timamu za maisha na mapenzi lakini baada ya kuwa nao nimegundua hawana lolote kupitia mpenzi wangu wa sasa mwenye umri chini ya miaka 30.
Labda nawe uwe kwenye miaka ya 30 ila kama ni chini ya hapo my dear ondoa hiyo mentality haraka sana.
Otherwise, all the best.
ipo ya kutosha
Mimi Nina watoto Wa 3. Naweza apply?ila hautaishi bure hapa kwangu .wala usitegemee kunidanganya kama wewe ni muongo nitakujua tu .kama huna mapenzi ya dhati unapenda mteremko bora usinitafute maana hapa sio mahali pake
Mimi Nina watoto Wa 3. Naweza apply?
kama mama yao alifariki ila kama mama zao wapo oa mmojawapoMimi Nina watoto Wa 3. Naweza apply?
Mwache mwenyewe ajeMkuu mimi nimeshamaliza picha
Ndio maana nikakuambia kama nawe upo kwenye miaka 30 sawa.asante kwa ushauri ila najiona safe nikiwa na mzee mwenzangu
...na mdau huyo ni yeye Mkuu.Unatafuta mwanaume wa kukuoa ambaye ni over 35, most likely utakutana na waume za watu wa kukuchezea mwisho wa siku unakuja na thread kama ya mdau mmoja hapa chini:-
Wanaume mlioko kwenye ndoa humu mitandaoni mjiheshimu
Kama sikosei aliwahi kuja na thread ya kuwa ni mjamzito wa mwezi mmoja na mhusika alikataa mimba.Unajua ID zingine zinafikirisha, unaweza kudhani labda ni mja mzito tayari na ukajiweka pembeni.
yule jamaa sijalala nae hata siku moja na siwezi kukata tamaa kwa ajili ya mtu mmoja nitampata tu mkweli...na mdau huyo ni yeye Mkuu.
Sijui kwanini hajajifunza bado.
Nimetuliza akili mkuu [emoji4]Mama la mama, nakuona nakuona.
Siku hizi una mabusara!
sijawai kubeba mimba sio mimi dadaKama sikosei aliwahi kuja na thread ya kuwa ni mjamzito wa mwezi mmoja na mhusika alikataa mimba.
Au sio huyu?
Mama hili mbona kama dongo kwa naniliu!![emoji85] [emoji85] [emoji85]Mama mtarajiwa una mambo sana.
Ngoja nikupe ushauri kidogo...usidanganyike na umri ktk mapenzi.
Binafsi nilikuwa na imani kama yako kuwa wanaume walioko kwenye 30's ndio wenye akili timamu za maisha na mapenzi lakini baada ya kuwa nao nimegundua hawana lolote kupitia mpenzi wangu wa sasa mwenye umri chini ya miaka 30.
Labda nawe uwe kwenye miaka ya 30 ila kama ni chini ya hapo my dear ondoa hiyo mentality haraka sana.
Otherwise, all the best.