Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wewe huwezi kupm?Ni pm Dada
kama ana watoto mimi nitaanza kununua vitu vya watoto? si waje na vitu vyao?hapo unaposema uje na vitu vyako panatia shaka,
[emoji15] [emoji15] [emoji15] muambie aniamkie...Mama mtarajiwa una mambo sana.
Ngoja nikupe ushauri kidogo...usidanganyike na umri ktk mapenzi.
Binafsi nilikuwa na imani kama yako kuwa wanaume walioko kwenye 30's ndio wenye akili timamu za maisha na mapenzi lakini baada ya kuwa nao nimegundua hawana lolote kupitia mpenzi wangu wa sasa mwenye umri chini ya miaka 30.
Labda nawe uwe kwenye miaka ya 30 ila kama ni chini ya hapo my dear ondoa hiyo mentality haraka sana.
Otherwise, all the best.
Acha tu sis,mimi nilidhania bonge la bwana kumbe kijana tu. [emoji4][emoji15] [emoji15] [emoji15] muambie aniamkie...
maakili mengi yote I thought he is 35 and above
looohh!si kwa maakili Yale!![emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Acha tu sis,mimi nilidhania bonge la bwana kumbe kijana tu. [emoji4]
Mwenzangu yale maakili sio ya dunia hii,ndio maana nimedata [emoji85]looohh!si kwa maakili Yale!![emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Tena sio kidogo mkuuJF ina mambo sana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] umeona eeehhhMwenzangu yale maakili sio ya dunia hii,ndio maana nimedata [emoji85]
Nisingeweza kuresist sis.
nioe ila ulipe mahari kwetuNahitaji mume wa kuishi nae nyumba ipo nina vyumba viwili tutakaa hadi tujenge hakuna kulipa kodi.
Uje na vitu vya ndani vyote .ukiwa na gari itapendeza zaidi ila kama huna njoo tu tutanunua maisha ni mipango tu.
Kama una watoto wasiwe wengi na uje na dada yao tutamlipa maana mimi nimeajiriwa narudi nyumbani jioni. Ila uwe mtu mzima na akili timamu za mapenzi na maisha .Miaka 35 kwenda juu vijana sitaki kabisa
Naishi mkoa wa Dar es salaam
miaka yangu 35 sina mtoto bado
ieleweke sio lazima uishi kwangu hayo ni maamuzi yako tu .ila kama umepanga bora tukae kwangu maana ni bure hatutalipa ili tujipange
Basi mmoja wapo itakuwa ni wewe, umejuaje kama kuna walio PM?Hivi hao waliyoku pm wote hujaona hata mmoja bado?