Natafuta mume wa kuishi nae, nyumba ipo

Natafuta mume wa kuishi nae, nyumba ipo

35 huna mtoto, ok tufanye umepata mtoto mwaka huu, mwanao akiwa na miaka 15 we utakuwa na 50 yrs,mbali na hapo mwanao akiwa na miaka 25 we utakuwa na 60, ulikuwa wapi siku zote hadi unakuwa bibi ndo unakumbuka kupata mume, anyway tuambie udhaifu wako ni nini... ?
Hii ndio aseme yy why mpaka sasa hata mwanaume aliye tulia au yy ndio tatizo, pia vip hali yako kiafya mama umepima damu kubwa[emoji6]
 
Nahitaji mume wa kuishi nae nyumba ipo nina vyumba viwili tutakaa hadi tujenge hakuna kulipa kodi.
Uje na vitu vya ndani vyote .ukiwa na gari itapendeza zaidi ila kama huna njoo tu tutanunua maisha ni mipango tu.

Kama una watoto wasiwe wengi na uje na dada yao tutamlipa maana mimi nimeajiriwa narudi nyumbani jioni. Ila uwe mtu mzima na akili timamu za mapenzi na maisha .Miaka 35 kwenda juu vijana sitaki kabisa

Naishi mkoa wa Dar es salaam
miaka yangu 35 sina mtoto bado

ieleweke sio lazima uis
i kwangu hayo ni maamuzi yako tu .ila kama umepanga bora tukae kwangu maana ni bure hatutalipa ili tujipange


Naomba tutafutane basi.
 
Wazee wa slope na ski boots zao wanataka kuteleza tu.
 
Kwani We si najima Ulikuwa unaishi na baraka da prince katka nyumba yenu yA urithi vip tena umemfukuza jamaa
 
Nahitaji mume wa kuishi nae nyumba ipo nina vyumba viwili tutakaa hadi tujenge hakuna kulipa kodi.
Uje na vitu vya ndani vyote .ukiwa na gari itapendeza zaidi ila kama huna njoo tu tutanunua maisha ni mipango tu.

Kama una watoto wasiwe wengi na uje na dada yao tutamlipa maana mimi nimeajiriwa narudi nyumbani jioni. Ila uwe mtu mzima na akili timamu za mapenzi na maisha .Miaka 35 kwenda juu vijana sitaki kabisa

Naishi mkoa wa Dar es salaam
miaka yangu 35 sina mtoto bado

ieleweke sio lazima uishi kwangu hayo ni maamuzi yako tu .ila kama umepanga bora tukae kwangu maana ni bure hatutalipa ili tujipange
Kuna huyu hapa na yeye anatafuta.

Natafuta Mpenzi wa Kike Awe Dar
 
Ungemwambia aje na begi lake, ili akizingua unamtupia begi nje
 
Nahitaji mume wa kuishi nae nyumba ipo nina vyumba viwili tutakaa hadi tujenge hakuna kulipa kodi.
Uje na vitu vya ndani vyote .ukiwa na gari itapendeza zaidi ila kama huna njoo tu tutanunua maisha ni mipango tu.

Kama una watoto wasiwe wengi na uje na dada yao tutamlipa maana mimi nimeajiriwa narudi nyumbani jioni. Ila uwe mtu mzima na akili timamu za mapenzi na maisha .Miaka 35 kwenda juu vijana sitaki kabisa

Naishi mkoa wa Dar es salaam
miaka yangu 35 sina mtoto bado

ieleweke sio lazima uishi kwangu hayo ni maamuzi yako tu .ila kama umepanga bora tukae kwangu maana ni bure hatutalipa ili tujipange
Wew Tangaza kuwa UNAHITAJI Mume, usiongeze masuala ya NYUMBA !
UKIWEKA hilo la NYUMBA utapata shida;utajiwa na walioshindwa kulipa kodi kufuata nyumba yako.
KWANZA masuala ya nyumba ,chakula, matunzo ni jukumu la Mume ,wew yako macho mama.LABDA KAMA UNATAFUTA SEX MACHINE!
NAKUSHAURI ONDOA HIYO NYUMBA KTK DHAMIRA YAKO HATA MATAPELI WATAKUJIA ILI KUPATA NAFASI YA KUITAPELI HIYO NYUMBA.
 
Back
Top Bottom