Ndiho
JF-Expert Member
- Feb 23, 2013
- 2,306
- 1,532
Anataka walokwisha kuwa na maisha siyo wanaotàfuta kama yeye.Puguza umri, vigezo vingine vinafikika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anataka walokwisha kuwa na maisha siyo wanaotàfuta kama yeye.Puguza umri, vigezo vingine vinafikika
Watch itUkiona mdada hauziki huko duniani,basi ujue ni nung'ayembe .samahani lakini
Usikariri maisha.Nani kwakwambia jombii
Wachumba hupatikana chuo na shule, na kazini kidogo, huyu alijiona keeki
mbn unakichwa kigumu xan mzeePuguza umri, vigezo vingine vinafikika
Kuna watu ni wagumu sana kuelewa na mmoja wao ni wewe,hukuona mtoa mada amesema kama mtu yupo serious amfuate pm for more details??!!Vigezo mbona vichache?wenzio wanatoa vingi?kipato,elimu,kimo,dini,n.k
Mi ntakufaa umri wang 28 lakn uwe tayari kuvumilia shidaHabari zenu wanaJf ,mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 24,natafuta mwanaume wa kunioa ambaye yuko serious tunaweza kuchat PM for more details.
Wasifu wangu kwa ufupi Mimi nina umri wa miaka 24 ,graduate wa chuo kikuu ,sina ajira na pia sina mtoto na wala sijawahi kuzaa.
Mwanaume awe hajazidi 45 years ,asiwe na mke sijajiandaa kuwa second wife.
Kwa watakao kosoa na kukejeli naomba wajue kuwa mapenzi/mpenzi hana sehemu maalum ya kupatikana .Thanks.
duhOooh na sunglasses [emoji41] nimeshavua ndio naona sasa, Natinga huko PM
Haya yote magufuri umeyaleta wewe, season 4 tulisikia kejeli sana. Mara mimi sitaki kuolewa wanaume wenyewe hawana pesa now days wanatafutwa...Habari zenu wanaJf ,mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 24,natafuta mwanaume wa kunioa ambaye yuko serious tunaweza kuchat PM for more details.
Wasifu wangu kwa ufupi Mimi nina umri wa miaka 24 ,graduate wa chuo kikuu ,sina ajira na pia sina mtoto na wala sijawahi kuzaa.
Mwanaume awe hajazidi 45 years ,asiwe na mke sijajiandaa kuwa second wife.
Kwa watakao kosoa na kukejeli naomba wajue kuwa mapenzi/mpenzi hana sehemu maalum ya kupatikana .Thanks.
Amesema usizidi 45.So ni kuanzia umri unaoruhusiwa kuoa kisheria hadi miaka 45.Puguza umri, vigezo vingine vinafikika
Sijui kama atakua na nauli ya kufika hukoNjoo in box