Natafuta mume wa kunioa

Natafuta mume wa kunioa

Hongera mkuu umeamua kujitoa kiujasiri, hope Mungu atakutimizia utakalo kwa sababu ni jambo la heri. Jitahidi tu kuwa makini wakati wa kushort list Mungu akuongoze katika chaguo sahihi. Amina.
Thanks
 
Yaani sikupatii picha ukiwa chuo uliringia wanaume vibaya sana na kujidai wewe ndo wewe, sasa hakuna hata wa kukwambia hi
Maskini polee
Hayo ni mawazo ambayo umeamua kuwaza kwa namna hiyo .sidhani kama kuringa ndio sababu pekee ya kutokupata mume .thanks
 
Kichwa cha habari ilitakiwa iwe "natafuta mume wa kujitoa muhanga"

Maana nyie akina miss natafuta wa mitandaoni kuwaoa ni sawa na kujitoa muhanga.
Sidhani kama kuna mtu wa mtandaoni !
 
Tafuta kwanza kazi ili uweze angalau kununua chupi. Graduate kwenda kuwa tegemezi kama wale wasio na elimu si jambo jema
Kutokuwa na kazi haimaanisha sitakuwa na kazi the whole life!...asante kwa ushauri lakini.
 
Uzi mtamu sana huu. Hahah embu weka basi na picha yako ili tujiridhishe kabisa kabla ya kuja PM
 
Mrembo me ni graduate mwenzako ila nina fanya kazi kwenye taasisi fulani so kama upo serious njoo PM.
Nipo dar.
 
Ukiona mdada hauziki huko duniani,basi ujue ni nung'ayembe .samahani lakini
Ndugu zako wote wameolewa au... Nyie ndo wale mnaosema watot wa wenzenu na kusahau nyie wazaz watarajiwa... Bora yeye kafka chuo kikuu hajazaa saa watu kama nyie watoto wenu uwa wanaanza kugongwa primary form 2 mimba anatulza papuch
 
Ndugu zako wote wameolewa au... Nyie ndo wale mnaosema watot wa wenzenu na kusahau nyie wazaz watarajiwa... Bora yeye kafka chuo kikuu hajazaa saa watu kama nyie watoto wenu uwa wanaanza kugongwa primary form 2 mimba anatulza papuch
Huhuhu mbona povu mkuu au umeguswa!?
 
Back
Top Bottom