Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hayo ni mawazo ambayo umeamua kuwaza kwa namna hiyo .sidhani kama kuringa ndio sababu pekee ya kutokupata mume .thanksYaani sikupatii picha ukiwa chuo uliringia wanaume vibaya sana na kujidai wewe ndo wewe, sasa hakuna hata wa kukwambia hi
Maskini polee
Duu kama huna dada vile?Tafuta kwanza kazi ili uweze angalau kununua chupi. Graduate kwenda kuwa tegemezi kama wale wasio na elimu si jambo jema
Ndugu zako wote wameolewa au... Nyie ndo wale mnaosema watot wa wenzenu na kusahau nyie wazaz watarajiwa... Bora yeye kafka chuo kikuu hajazaa saa watu kama nyie watoto wenu uwa wanaanza kugongwa primary form 2 mimba anatulza papuchUkiona mdada hauziki huko duniani,basi ujue ni nung'ayembe .samahani lakini
Huhuhu mbona povu mkuu au umeguswa!?Ndugu zako wote wameolewa au... Nyie ndo wale mnaosema watot wa wenzenu na kusahau nyie wazaz watarajiwa... Bora yeye kafka chuo kikuu hajazaa saa watu kama nyie watoto wenu uwa wanaanza kugongwa primary form 2 mimba anatulza papuch
Hiyo avanta niwewe??? Kama so wewe basi ungedodosa kidogo ukoje.Nimesema asizidi 45 years !,