Natafuta mume wa kunioa

Vigezo mbona vichache?wenzio wanatoa vingi?kipato,elimu,kimo,dini,n.k
 
Vigezo mbona vichache?wenzio wanatoa vingi?kipato,elimu,kimo,dini,n.k
Kuna watu ni wagumu sana kuelewa na mmoja wao ni wewe,hukuona mtoa mada amesema kama mtu yupo serious amfuate pm for more details??!!
 
Mi ntakufaa umri wang 28 lakn uwe tayari kuvumilia shida
 
Haya yote magufuri umeyaleta wewe, season 4 tulisikia kejeli sana. Mara mimi sitaki kuolewa wanaume wenyewe hawana pesa now days wanatafutwa...
 
Nina uhitaji wa kupata mke lkn Kwa comments nilizosoma humu haina haja ya kuleta bandiko humu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…