Natafuta mume wa kunioa

hakuna mwanaume mwenye huo umri halafu hajaoa [kama yupo physically and biologically fit], otherwise unatafuta mgane...
Siku nyingine uwe unasoma comment na kuielewa kwanza kabla ya kukurupuka tu hovyo!!

Amesema "Mwanaume asizidi 45"
hapo ina maana atleast awe 18 to 45 na asiwe kuanzia 46 kwenda juu,

Inaonekana ulimsumbua sana mwalimu wako darasani kukufahamisha.
 

Appearance yako ikoje
 

Huu umri hajaoa kwann unataka udanganywe my dia
 
Mimi
 
Hayo ni mawazo ambayo umeamua kuwaza kwa namna hiyo .sidhani kama kuringa ndio sababu pekee ya kutokupata mume .thanks
Nimechelewa kuiona post yako..
Kama uko na nia ya dhati naimba tuwasiliane pm
Hope hutajuta kunifahamu believe me
 
Mwaka huu tutashuhudia mengi[emoji86]
 
Upo wapi
 

Woyoooooooooooooooooooo
Mtoto mzuri aisee
Ukikosa nistue inbobo [emoji847]
 
Hii Love Connect kwenye JF ina maana gani ikiwa mtu anatuma uono/ hitaji lake badala ya kupewa msaada ni kejeri, kebehi na dharau je ndo matumizi sahihi ya jukwaa hilo? Waama kwenye msafara wa mamba na kenge wamo. Binti usikatishwe tamaa na hizi kejeli, simamia unachokiamini,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…