Natafuta Mume wa kunioa

Natafuta Mume wa kunioa

Wanawake wanaangalia fursa
Wakishindwa kufanikiwa wakiwa Single wanaamua kuolewa hiyo ndio Fursa ya mwisho kwa mwanamke apate mtu mwenye hela amuoe zikiisha waachane atakuwa tayari ana nyumba na gari na watoto ambao ndio wanamfanya awe mrithi halali wa Mali za Mwanaume kwa sheria za Tanzania. Kwa sheria za Ndoa Tanzania Mwanaume hana haki yeyote
Hata ukimuoa mwanamke mwaka mmoja na alikuja na begi la Karibu Shangazi, Siku mkigombana anaondoka na Harrier na hati ya kiwanja na nyumba mnayoishi inapigwa mnada mgawane.
Huoni ulimkaribisha Shetani kwenye maisha yako akumalize?
 
Mimi ni kijana wa kike, umri wangu ni miaka 28. Mimi ni mkristo, nasali kanisa la KKKT, elimu yangu ni degree moja. Ni mweupe kiasi, sio mrefu wala sio mfupi. Natafuta mchumba ambaye natamani aje kuwa mume wangu. Awe na sifa zifuatazao.

1. Asiwe mrefu sana wala mfupi sana
2. Awe mkristo
3. Elimu iwe degree moja na kuendelea
4. Rangi yake awe maji ya kunde ya mweusi. Asiwe mweupe
5. Ajue kutafuta pesa
Dada kwa hizo sifa ulizozitaja hapo umewataja wanaume watano tofauti hakuna mwanaume mweny sifa hizo zote 5 unazozitaka wewe
 
Wanawake wanaangalia fursa
Wakishindwa kufanikiwa wakiwa Single wanaamua kuolewa hiyo ndio Fursa ya mwisho kwa mwanamke apate mtu mwenye hela amuoe zikiisha waachane atakuwa tayari ana nyumba na gari na watoto ambao ndio wanamfanya awe mrithi halali wa Mali za Mwanaume kwa sheria za Tanzania. Kwa sheria za Ndoa Tanzania Mwanaume hana haki yeyote
Hata ukimuoa mwanamke mwaka mmoja na alikuja na begi la Karibu Shangazi, Siku mkigombana anaondoka na Harrier na hati ya kiwanja na nyumba mnayoishi inapigwa mnada mgawane.
Huoni ulimkaribisha Shetani kwenye maisha yako akumalize?
Hiyo wanapigwa wanaume wazembe wazembe. Ingia humu ujionee kwenye kesi za Kuvunja ndoa ni wanawake wangapi wanashinda Tanzlii
 
Mimi ni kijana wa kike, umri wangu ni miaka 28. Mimi ni mkristo, nasali kanisa la KKKT, elimu yangu ni degree moja. Ni mweupe kiasi, sio mrefu wala sio mfupi. Natafuta mchumba ambaye natamani aje kuwa mume wangu. Awe na sifa zifuatazao.

1. Asiwe mrefu sana wala mfupi sana
2. Awe mkristo
3. Elimu iwe degree moja na kuendelea
4. Rangi yake awe maji ya kunde ya mweusi. Asiwe mweupe
5. Ajue kutafuta pesa
Nipo hapa
 
Mimi ni kijana wa kike, umri wangu ni miaka 28. Mimi ni mkristo, nasali kanisa la KKKT, elimu yangu ni degree moja. Ni mweupe kiasi, sio mrefu wala sio mfupi. Natafuta mchumba ambaye natamani aje kuwa mume wangu. Awe na sifa zifuatazao.

1. Asiwe mrefu sana wala mfupi sana
2. Awe mkristo
3. Elimu iwe degree moja na kuendelea
4. Rangi yake awe maji ya kunde ya mweusi. Asiwe mweupe
5. Ajue kutafuta pesa
0714461314
karibu tuwasiliane
 
Komaa kwenda kanisani utapata. Hapa ndani sijaona bado kichwa cha kuoa dada angu utatapeliwa tu
Mimi ni kijana wa kike, umri wangu ni miaka 28. Mimi ni mkristo, nasali kanisa la KKKT, elimu yangu ni degree moja. Ni mweupe kiasi, sio mrefu wala sio mfupi. Natafuta mchumba ambaye natamani aje kuwa mume wangu. Awe na sifa zifuatazao.

1. Asiwe mrefu sana wala mfupi sana
2. Awe mkristo
3. Elimu iwe degree moja na kuendelea
4. Rangi yake awe maji ya kunde ya mweusi. Asiwe mweupe
5. Ajue kutafuta pesa
 
Mimi ni kijana wa kike, umri wangu ni miaka 28. Mimi ni mkristo, nasali kanisa la KKKT, elimu yangu ni degree moja. Ni mweupe kiasi, sio mrefu wala sio mfupi. Natafuta mchumba ambaye natamani aje kuwa mume wangu. Awe na sifa zifuatazao.

1. Asiwe mrefu sana wala mfupi sana
2. Awe mkristo
3. Elimu iwe degree moja na kuendelea
4. Rangi yake awe maji ya kunde ya mweusi. Asiwe mweupe
5. Ajue kutafuta pesa
Hii
 
Mimi ni kijana wa kike, umri wangu ni miaka 28. Mimi ni mkristo, nasali kanisa la KKKT, elimu yangu ni degree moja. Ni mweupe kiasi, sio mrefu wala sio mfupi. Natafuta mchumba ambaye natamani aje kuwa mume wangu. Awe na sifa zifuatazao.

1. Asiwe mrefu sana wala mfupi sana
2. Awe mkristo
3. Elimu iwe degree moja na kuendelea
4. Rangi yake awe maji ya kunde ya mweusi. Asiwe mweupe
5. Ajue kutafuta pesa
Funguka zaidi karibu pm
 
Miaka 28, bado kijana? Wenzako na umri huo wana watoto 4
Mimi ni kijana wa kike, umri wangu ni miaka 28. Mimi ni mkristo, nasali kanisa la KKKT, elimu yangu ni degree moja. Ni mweupe kiasi, sio mrefu wala sio mfupi. Natafuta mchumba ambaye natamani aje kuwa mume wangu. Awe na sifa zifuatazao.

1. Asiwe mrefu sana wala mfupi sana
2. Awe mkristo
3. Elimu iwe degree moja na kuendelea
4. Rangi yake awe maji ya kunde ya mweusi. Asiwe mweupe
5. Ajue kutafuta pesa
 
Degree moja na kuendelea si inatosha hata asipojua kutafuta pesa?!
 
Tupe mrejesho huko PM mnaendeleaje? Maana nimeona invitations kadhaa ya inbox
 
Mbona watafutaji wengi na walio win life hawana hicho kigezo chako cha degree?! Au unataka muwe mnaonyeshana hizo karatas zenu chumban kwenu!. Tafuta Mwanaume smart kichwan, hao wa degree wengi ni waoga wa maisha. Obviously Nina masters lakin sijawahi vutiwa na Mwanamke aliyefika"CHUO KIKUU".
 
Mimi ni kijana wa kike, umri wangu ni miaka 28. Mimi ni mkristo, nasali kanisa la KKKT, elimu yangu ni degree moja. Ni mweupe kiasi, sio mrefu wala sio mfupi. Natafuta mchumba ambaye natamani aje kuwa mume wangu. Awe na sifa zifuatazao.

1. Asiwe mrefu sana wala mfupi sana
2. Awe mkristo
3. Elimu iwe degree moja na kuendelea
4. Rangi yake awe maji ya kunde ya mweusi. Asiwe mweupe
5. Ajue kutafuta pesa
Namba yako ya simu
 
Back
Top Bottom